Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Higuain: " I’ve been following Chelsea because I know the coach and I have friends here. Now I’ve joined the club I’m going to give my all to help Chelsea achieve our objectives."
 
Higuain: "Willy Caballero, Rudiger, Marcos Alonso, David Luiz, Marcos Alonso, Willian and I’ve played against Kovacic, so luckily I already know a few of them which is something that is going to help me settle in here."
 
Higuain on trophies with Chelsea: "Always in football you have those targets to win great trophies so I hope that’s going to be the case here. I feel very excited, with great hope and desire to achieve success with Chelsea."
 
Huu usajili wa Higuan sijauelewa kabisa. Sioni tofauti yake na akina Morata au Giroud ..uku tuna mbatshway, Abraham, Odoi, Kennedy afu tunachukua mazee na kuzid kuyajaza kweny timu. Kazi kupeleka madogo kwa mkopo na badae tunaishia kuwauza...

Sent using Jamii Forums mobile app
Olachuga kuna kitu kinaitwa kufit in kwenye mfumo. Higuaín popularity yake kaipata kwa Sarri. Ndio mchezaji aliweza kuijua na kuipenda mfumo wa Sari. Hawa wengine sio kana kwamba ni wabaya, lakini wameshindwa kufit in kwenye mfumo wa kocha. Na kocha pia anawajua watu wanaoweza kufit in kwenye mfumo wake na ndio maana kocha anatakiwa kusikilizwa anapopendekeza nani asajiliwe kwenye position ipi.
 
RIP timu ambazo hazijacheza na Chelsea second round, arsenal wanabahati Sana!

Sent using Jamii Forums mobile app
Pona pona yao ilikua ni kumkuta chelsea hayupo vizuri siku ile. Ila kama ningekua Sarri badiliko ambalo ningefanya ni kumrudisha kante kwenye natural position yake, akamate dimba na kukichafua pale kati

the Legend☆
 
huyu ndo anakuja kushindana na wakina kompany?
FB_IMG_1548313643601.jpeg
 
Hawa Liverpool wanahitaji chanjo ya pepopunda. Lazima kuna kaugonjwa kanawasumbua.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sasa endeleeni kumshawishi akubali hizo £85m/week asaini Mkataba Mpya.

Lakini kama hataki kusaini kwenye Timu yenu kwanini tusioneshe nia ya kumtaka?

Either Bayern or Liverpool iwapo hatasajili New contract.

Enewey ni tetesi tu hizo not necessary to be true
 
Sasa endeleeni kumshawishi akubali hizo £85m/week asaini Mkataba Mpya.

Lakini kama hataki kusaini kwenye Timu yenu kwanini tusioneshe nia ya kumtaka?

Either Bayern or Liverpool iwapo hatasajili New contract.

Enewey ni tetesi tu hizo not necessary to be true
Ni kheri aende Bayern hatutaumia. Solanke mmemfanya nini mpaka sasa.?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kheri aende Bayern hatutaumia. Solanke mmemfanya nini mpaka sasa.?

Sent using Jamii Forums mobile app

Solanke ni yeye mwenyewe kajiangusha.

Kumbuka msimu uliopita Origi na Sturridge waliondolewa kwa Mkopo ili kupewa na Faso yeye lakini hatimae Hakuonesha Talent yoyote.

Mbona Gomez katoka Charlton akiwa Mdogo kuliko Solanke na Anafanya Vizuri baada ya kupewa nafasi...

Msimu huu Tunaondosha Ings, Solanke, Origi na Strridge kwa ajili ya kumpa nafasi New Striker na Mchezaji kama Odoi.
 
Solanke ni yeye mwenyewe kajiangusha.

Kumbuka msimu uliopita Origi na Sturridge waliondolewa kwa Mkopo ili kupewa na Faso yeye lakini hatimae Hakuonesha Talent yoyote.

Mbona Gomez katoka Charlton akiwa Mdogo kuliko Solanke na Anafanya Vizuri baada ya kupewa nafasi...

Msimu huu Tunaondosha Ings, Solanke, Origi na Strridge kwa ajili ya kumpa nafasi New Striker na Mchezaji kama Odoi.
Sasa kama hapati playing time ya kutosha utamuonea wapi.? Odoi mmeanza kumuona baada ya kupata muda wa kumtosha uwanjani.

Yan kwanza hatapendeza kwenye jezi za Livet

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom