The Humble Dreamer
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 8,011
- 11,444
Shida cyo hiyo, ni kwamba tot walifungwa ila walipambana, sasa nyie jana mbele mpompo tuu hampo serius na hela za tu, mwambiez Sarri sigara zinamponzaMkuu EPL hakuna timu ndogo. Wolves kampiga Tot nyumbani kwake 3-1, jana kaja kapigwa na yeye kwake goli 2 bila majibu. Kwa hiyo usiutafsiri mpira ivyo kwa akili za kubet, tafsiri kwa maono ya mbali zaidi kama mtu mzima uliyekomaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app