Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Lacazete, Kolasinac Je?
Upo sahihi kabisa

Sema chelsea huwa ni kama wanacheza kamari

Mara nying inawalipa ,hata kwa kepa ni kamari but imelipa, anaonesha ni ana uwezo mzuri tu,

Kwa bakayoko ,morata kamari ilifeli

Kwa pulisic ni kamari nyingine ,maana hata hapo BVB anawekwa bench sana, na BVB wamemuuza maana wana dogo anaitwa Sancho wanamuandaa kumuuza kwa bei kubwa tena kwa atakayejitokeza

Pulisic anataazamiwa kuwa moto siku za mbeleni,


Kuna mawili akawa kweli moto au akawa wakawaida bora hata ODOI,

All in all usajiri kama huu huwa ni kamari


Pulisic got benched by 2 newcomers and a LB this season...and there’s a reason why Favre let him go ahead of Sancho and Larsen and Wolf...Guerreiro is the LB that also benched Pulisic...


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua haiwezi kupigwa kirahisi kama Arsenal. Huyo jamaa hata asipofunga kuna kitu anaweza kuoffer nje ya uwanja

Sent using Jamii Forums mobile app
Labda unaongelea ushabiki,

Mbona morata mmepigwa ,ame offer nn nje ya uwanja?

Pulisic anaoffer nn nje ya uwanja ?

Kubali hiyo dogo hiyo ni overprice , timu nying zimemuhitaji ila sio kwa bei hiyo,

Mchezaj kuoffer vitu nje ya uwanja kuna vitu vingi na inategemea na perfomance yake, au brand ya klabu, na hasa hasa hizo klabu ni tatu tu, man u ,madrid na barca


Mchezaji anaweza kuwa ovyo na bado akaendelea kuoffer nje ya uwanja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda unaongelea ushabiki,

Mbona morata mmepigwa ,ame offer nn nje ya uwanja?

Pulisic anaoffer nn nje ya uwanja ?

Kubali hiyo dogo hiyo ni overprice , timu nying zimemuhitaji ila sio kwa bei hiyo,

Mchezaj kuoffer vitu nje ya uwanja kuna vitu vingi na inategemea na perfomance yake, au brand ya klabu, na hasa hasa hizo klabu ni tatu tu, man u ,madrid na barca


Mchezaji anaweza kuwa ovyo na bado akaendelea kuoffer nje ya uwanja

Sent using Jamii Forums mobile app
Pulisic ataattrack attention ya Wamarekani kuifatilia Chelsea. Ishu ya Morata inazipata club nyingi tu kwanza kiasi alichonunuliwa Morata hakijafika kiasi alichonunuliwa Dembele.

Chelsea mwaka huu ina profit zaidi ya £ 440. Unafikiri hizo hela inapewa kama msaada?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pulisic ataattack attention ya Wamarekani kuifatilia Chelsea. Ishu ya Morata inazipata club nyingi tu kwanza kiasi alichonunuliwa Morata hakijafika kiasi alichonunuliwa Dembele.

Chelsea mwaka huu ina profit zaidi ya £ 440. Unafikiri hizo hela inapewa kama msaada?

Sent using Jamii Forums mobile app

Dembele majeruhi ndio yamemfanya asiwepo uwanjani bwana na sio uwezo which is a totally different case with Morata

Kuwa mkweli, nani wa kumsugulisha benchi Dembele pale EPL?
 
Msilete utani na hela yangu nimewapa mshindee. Hii ni hela. Poa
20190102_220010_rmscr-1.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda unaongelea ushabiki,

Mbona morata mmepigwa ,ame offer nn nje ya uwanja?

Pulisic anaoffer nn nje ya uwanja ?

Kubali hiyo dogo hiyo ni overprice , timu nying zimemuhitaji ila sio kwa bei hiyo,

Mchezaj kuoffer vitu nje ya uwanja kuna vitu vingi na inategemea na perfomance yake, au brand ya klabu, na hasa hasa hizo klabu ni tatu tu, man u ,madrid na barca


Mchezaji anaweza kuwa ovyo na bado akaendelea kuoffer nje ya uwanja

Sent using Jamii Forums mobile app
But Chelsea now wananunua maana hawana uhakika kama majira ya joto/dirisha kubwa kama wataruhusiwa kusajiri au lah so bora waongeze watu wa kwenda nao msimu ujao kama watafungiwa kusajiri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda unaongelea ushabiki,

Mbona morata mmepigwa ,ame offer nn nje ya uwanja?

Pulisic anaoffer nn nje ya uwanja ?

Kubali hiyo dogo hiyo ni overprice , timu nying zimemuhitaji ila sio kwa bei hiyo,

Mchezaj kuoffer vitu nje ya uwanja kuna vitu vingi na inategemea na perfomance yake, au brand ya klabu, na hasa hasa hizo klabu ni tatu tu, man u ,madrid na barca


Mchezaji anaweza kuwa ovyo na bado akaendelea kuoffer nje ya uwanja

Sent using Jamii Forums mobile app

We unaongea vitu huvijui..
Umeona data za chelsea ilivopiga mkwanja quarter /mwaka iliyopita kutokana na udhamini,mauzo ya wachezaji,TV broadcasting schemes etc?kuliko hizo timu zako pendwa?
Deal la Pulisic halipo uwanjani tu...kiufupi Nike ndo wame-engineer hii issue tangu mwezi wa 11 na wanachoangalia ni kukuza fan base ya USA na mauzo ya jezi katika soko la America.Pulisic ni star player kwa sasa USA na im telling u chelsea are no blinds when it comes to making money out of their players..
Kuna page maalumu ya CHELSEA FC USA naona imeanzishwa purposely kwa malengo kama haya and here comes Puli..
Mzee,hii sio ya kuchukulia poa kabisa


Sent using JF For iPhones
 
Labda unaongelea ushabiki,

Mbona morata mmepigwa ,ame offer nn nje ya uwanja?

Pulisic anaoffer nn nje ya uwanja ?

Kubali hiyo dogo hiyo ni overprice , timu nying zimemuhitaji ila sio kwa bei hiyo,

Mchezaj kuoffer vitu nje ya uwanja kuna vitu vingi na inategemea na perfomance yake, au brand ya klabu, na hasa hasa hizo klabu ni tatu tu, man u ,madrid na barca


Mchezaji anaweza kuwa ovyo na bado akaendelea kuoffer nje ya uwanja

Sent using Jamii Forums mobile app
We inakuhusu nn TORRES alifeli chelsea lakini alitufungia bao moja dhidi ya barca akalipa madeni yake yote
Hivyo hiyo nae atalipa deni lake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom