Old Skuli
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 690
- 178
Sema inasikitishaa kubaki mpaka msimu uishe make usajili huu ulikuwa bora kwa sasa hasa kwa kuwa huyu mtu anaweza /ni mbadala wa wiliam na pedro ...sijui kwa nini wameafikiana hivo ...au ndo yale boss anataka menejaa hataki kwa sasa
Dortmund inserted a condition if he had left BVB this January the price would have been 80m,ndio maana Chelsea wakaamua kuchukua condition nyingine.
Sent using JF For iPhones

