Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Afadhali tupigwe tutakosa wote mwakani Sisi tunajiimarisha tunachukua epl, hatuwezi kukaa miaka minne bila kubeba epl ila wewe uendelee kusubiri meli airport ,nasema tupigwe tukose wote epl currently ni ya City na Chelsea

At least nitafurahi kuwa umepigwa
 
Afadhali tupigwe tutakosa wote mwakani Sisi tunajiimarisha tunachukua epl, hatuwezi kukaa miaka minne bila kubeba epl ila wewe uendelee kusubiri meli airport ,nasema tupigwe tukose wote epl currently ni ya City na Chelsea

Mimi Man City nitaenda nae unyao kwa unyao kwa kupambana Mimi mwenyewe! Sitegemei mtu anifanyie Favour
 
Mimi Man City nitaenda nae unyao kwa unyao kwa kupambana Mimi mwenyewe! Sitegemei mtu anifanyie Favour
Wewe kawaida ni mpenzi mtazamaji endelea kusindikiza very nice!angalia miaka hairudi nyuma kushangilia kitu kisichofikia ubingwa ni hatari kwa umri wako
 
Timu NNE mwishoni mwa msimu wa EPL
Chelsea
Tottenham
Man city
Liverpool
Hiyo ni kwa mujibu wa mtandao mmoja wa ubashiri wa ligi bora duniani
 
Wewe kawaida ni mpenzi mtazamaji endelea kusindikiza very nice!angalia miaka hairudi nyuma kushangilia kitu kisichofikia ubingwa ni hatari kwa umri wako

Iko Siku utameza haya maneno yako
 
Leo Babu Sari anatakiwa aje kivingine, 1st ELEVEN Kepa, Zappacosta, Rudger, David Luiz, Emarson, Ngolo kante, Backely, Joginho, Pedro, Hazard, Giroud. SUB Willan, Alonso, Azipiculeta, Kovacic, Fabrigas, Lotus Cheek

kwa kweli kwa sasa Alonso uchovu, hana kasi, Azipiculeta jembe letu limetumika muda mrefu sana na lenyewe linatakiwa lipumzike lirudishe makali ya kupanda kwa kasi na kumwaga maji, Willan huu ni mzigo style yake ya uchezaji wa kupooza kasi na kutaka kuwatoka mabeki kwa chenga umekuwa ukitucost sana. pedro nampenda ana kasi sana once anapata mpira ananyooka golini hana muda wa kuremba na kuupaka mpira rangi.

Siku zote nimekuwa nikikasirika pale Kovacic anapoanza 1st eleven huyu jamaa anachezea sana mpira lakini ni mzito sana kwenye kukaba pale anapopoteza mpira na anakata moto mapema sio chuma kama Backely. Backely anakaba na anapanda kushambulia anapumzi sana, Ross na Kante wakicheza pamoja mipira haipotei hovyo

hazard leo aache kuzunguruka na mpira, hazard yule wa kupata mpira na kuingia kwenye box kwa speed kali amepotea, sasa hivi tunaye hazard anayeingia na kutoka kuzunguka na kurudisha pasi nyuma.

kuhusu pale mbele forward Mungu ndiye anajua, bora giroud akaanza match ya leo at least ana makeke ya kosa kosa kule yule mrembo Morata.

Blue forever
 
Another day Another record.


●●●Mo Salah with his perfect hat-trick anajiwekea record ya kuwa FASTEST PLAYER IN LIVERPOOL HISTORY kufunga 40goals in EPL kwa few games[emoji95] katumia only 52 games kufanya ivo[emoji123]

●●●katika historia ya PREMIER LEGUE ni ALAN SHEARER & ANDY COLE ndo wako juu yake kwa kufunga 40goals with 45 games that means Mo salah he is king of new generation[emoji23].


FAN FACT[emoji871]
●●●Thiery Hennry ametumia game 73 wakamuita king, Aguero akatumia 70 game wakasema mguu wa dhahabu, Diego Costa akatumia 64 game wakasema analijua sana goal, torres akatumia 60 games wakamuita ElNINO but MO SALAH katumia 52 goal wanamuita ONE SEASON WONDER [emoji23][emoji23][emoji23] hili nalo likawekwe katika kitabu cha maajabu ya dunia GUINESS
 
Kwa hii line up sijui , nitakata tuanze na false number 9 kitu ambacho kocha amekifanya Ila tatizo ninaloliona hapa ni Alonso, this guy is too slow kumkaba Rahim, cha ajabu zaidi hata Kocha juzi kwenye press conference alizungumzia Ila bado kampanga na Leo, sijamuelewa
 
Kwa hii line up sijui , nitakata tuanze na false number 9 kitu ambacho kocha amekifanya Ila tatizo ninaloliona hapa ni Alonso, this guy is too slow kumkaba Rahim, cha ajabu zaidi hata Kocha juzi kwenye press conference alizungumzia Ila bado kampanga na Leo, sijamuelewa
Usijar Leo akizingua hachelewesh lazma afanyiwe sub tu
 
Liver[emoji818]️
Man U[emoji818]️
Arsenal[emoji818]️
Chelshit & Man City.......... Loading
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom