Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

People are too judgemental. Yan naanza kupata picha ni kwa namna hali itakua ikiwa tutafungwa. Ila ndio upinzani wenyewe tuwe wavumilivu katika hili.

Kwa upande wangu game ilikua ngumu na tulipoteza nafasi mwanzoni. Everton back line yao ilikua solid sana. Walikua hawafanyi makosa ya kizembe, so far matatizp yetu yanajulikana striker bado ni tatizo na viungo naona nao wanaanza kupoteana. Bado tuna tatizo na kufanya faulo nyingi mpaka tunapata kadi nyingi hii inaweza kutu cost endapo tukapata kadi nyekundu

Wana blues tuwe wapole achaneni na hao maneno yao ndio kwanza Sarri yuko kwenye msimu wake wa kwanza na anafanya wonders kama zote. Kuna watu ni msimu wa tatu hawajanyunyua makwapa na kujua kwao mpira.

Kuweni wapole. Holla Bluees!!!
Mpira unachezwa uwanjani. Let's them talk . Naamini front 3 yetu isipokuwa na ubinafsi tutafunga na kutoka na points nnyingi tu. Willian apunguze ubinafsi anapopata nafasi..wamwamini Morata tu. Chelsea 4rever#comeonchelseafc#
 
Mhhh!
Jamani ndugu zanguni msivunjike moyo,mwaka huu lengo liwe kurudi Champion League sio kuchukua ubingwa!
Mkitengeneza team mwakani hapo mnaweza kuwa title contender
Mwaka huu hamna mtu wa kufunga
Mkuu sisi huwa tunapigania ubingwa tu. Hayo mengine ni matokeo tu.
 
MOST CHAMPIONSHIPS
1. 20 - Manchester United
2. 18 - Liverpool
3. 13 - Arsenal
-
MOST FA CUPS
1. 13- Arsenal
1. 12 - Mancester
3. 8 - Tottenham Hotspurs
-
MOST CHAMPIONS LEAGUE
1. 5 - Liverpool
2. 3 - Manchester United
3. 2 - Nottingham Forrest
-
MOST COMMUNITY SHIELDS
1. 21 - Manchester United
2. 15 - Liverpool
3. 14 - Arsenal
-
MOST TROPHIES OVERALL
1. 63 - Manchester United
2. 60 - Liverpool
3. 43 - Arsenal
-
MOST RELEGATED CLUBS
1. 5 - Chelsea
2. 5 - Manchester City
3. 4 - Tottenham Hotspurs
-
And you think Chelsea is a football
club?
Chelsea is a night club so don't compare Chelsea
with the kings of England

Not my handwritting
 
MOST CHAMPIONSHIPS
1. 20 - Manchester United
2. 18 - Liverpool
3. 13 - Arsenal
-
MOST FA CUPS
1. 13- Arsenal
1. 12 - Mancester
3. 8 - Tottenham Hotspurs
-
MOST CHAMPIONS LEAGUE
1. 5 - Liverpool
2. 3 - Manchester United
3. 2 - Nottingham Forrest
-
MOST COMMUNITY SHIELDS
1. 21 - Manchester United
2. 15 - Liverpool
3. 14 - Arsenal
-
MOST TROPHIES OVERALL
1. 63 - Manchester United
2. 60 - Liverpool
3. 43 - Arsenal
-
MOST RELEGATED CLUBS
1. 5 - Chelsea
2. 5 - Manchester City
3. 4 - Tottenham Hotspurs
-
And you think Chelsea is a football
club?
Chelsea is a night club so don't compare Chelsea
with the kings of England

Not my handwritting
Ndo kilichobaki hiki hvo vilabu vya makumbusho ..mnajivunia makumbusho poleee
 
Historia
MOST CHAMPIONSHIPS
1. 20 - Manchester United
2. 18 - Liverpool
3. 13 - Arsenal
-
MOST FA CUPS
1. 13- Arsenal
1. 12 - Mancester
3. 8 - Tottenham Hotspurs
-
MOST CHAMPIONS LEAGUE
1. 5 - Liverpool
2. 3 - Manchester United
3. 2 - Nottingham Forrest
-
MOST COMMUNITY SHIELDS
1. 21 - Manchester United
2. 15 - Liverpool
3. 14 - Arsenal
-
MOST TROPHIES OVERALL
1. 63 - Manchester United
2. 60 - Liverpool
3. 43 - Arsenal
-
MOST RELEGATED CLUBS
1. 5 - Chelsea
2. 5 - Manchester City
3. 4 - Tottenham Hotspurs
-
And you think Chelsea is a football
club?
Chelsea is a night club so don't compare Chelsea
with the kings of England

Not my handwritting
 
BREAKING: @premierleague clubs agree in principle to introduction of VAR from next season.
 
Rumours transfer
bluesoldiersfc___BqNa_iUAZiX___.jpg
 
Sasa kwan kuwa wa pili kwa gap la 2 points na man city unadhan sio kuongoza ligi.

Isitoshe kila weekend lazma tuongoze ligi kwa masaa, hapa tunachosubiria ni Man city kuja kudraw au kupigwa pin kabisa na chelsea, tuongeze ligi mazima
Unafuga mbwa kwa kitegemea mavi ya mlevi... 😂
 
According to Marko Arnautović's agent, Chelsea and Everton are among the number of Premier League clubs interested in signing Marko Arnautović. Ndio maana y tetes s kiyu real


Naombea usitokee huu ujinga. Kuna wachezaji wengi Martial, Delay Memphis, Fekir etc
 
FIFA refute Football Leaks assertions that Chelsea are set for a two-year transfer ban, in relation to the signing of 14 Under 18 player Bertrand Traore is one transfer still being investigated. #CFC
Chelsea wakifungiwa inaweza kuwa Neema badala ya balaa
Chelsea wana academy nzuri iliyowazaa mastaa wakubwa na pia ikichukua trophies kadhaa wa kadha kwa miaka ya hivi karibuni. Ndio mojawapo ya timu isiyowadhamini makinda wake kutoka kwenye academy. Hii ban itawalazimisha kuacha kununua wachezaji wa ghali na kuwageukia vijana wake wa academy kama akina Odoi na wengineo
 
According to Spanish News outlet AS, Kepa could replace De Gea as the new no.1 in the Spanish national team. Luis Enrique has told De Gea that he can't guarantee him the first spot after another poor performance against Croatia.
 
Yeah maana kina Odoi, Loftus Cheek na Ampadu watapata nafasi. Hata walio kwa mkopo kama Mount Mason, James Reeves anaweza kumsaidia azpilicueta sasa hivi
 
According to Spanish News outlet AS, Kepa could replace De Gea as the new no.1 in the Spanish national team. Luis Enrique has told De Gea that he can't guarantee him the first spot after another poor performance against Croatia.
Lakini mm naona Kepa bado sana kufika level ya De Gea. Nadhani kocha anatamka hivyo ili kumpa tu changamoto lakini kiwango chake bado sana.
 
Lakini mm naona Kepa bado sana kufika level ya De Gea. Nadhani kocha anatamka hivyo ili kumpa tu changamoto lakini kiwango chake bado sana.
Haoana tazama aina za beki hivi kweli mfumo wa chelsea wa kupiga pas nying unaweza muona golkipa anafanya kaz na mfano wa wazi n barca kipa wao n mbovu ila ku5okana na mfumo anaonekana bora kepa ni bora sema tu ajapata mashambuliz makali maana beki zipo sawa
 
According to Spanish News outlet AS, Kepa could replace De Gea as the new no.1 in the Spanish national team. Luis Enrique has told De Gea that he can't guarantee him the first spot after another poor performance against Croatia.

Kutoka Na Timu ya Taifa ya Spain ilivyo nawashauri tu Bora muombe Kepa asiwekwe Golkepa namba 1 ili aendelee kulinda heshima Yake nsimu huu.

Spain kwa sasa Hata waeke Kipa 2 De Gea na Kepa kwa wakati mmoja basi kufungwa goli 3 Ni kitu cha kawaida kutokea.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom