lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,380
- 25,482
Ni golikipa bora kwa umri mdogo. Atakuja kuwa the best golie misimu michache ijayo kwa sababu anatumia akili na mbinu katika kusokma mchezo pasi na mwenendo wa game. Kipa mzuri unamjua kwenye chances created alizotibua na mipira ya wazi golini alizookoa kwa ufundi na ujanja. Aliweza kuokoa mipira ya hatari zaidi ya 60 msimu uliopita akiwa Laliga.Haoana tazama aina za beki hivi kweli mfumo wa chelsea wa kupiga pas nying unaweza muona golkipa anafanya kaz na mfano wa wazi n barca kipa wao n mbovu ila ku5okana na mfumo anaonekana bora kepa ni bora sema tu ajapata mashambuliz makali maana beki zipo sawa
Zinadine alikuwa amchukue Kepa lakini Chelsea wangemuacha na Zidane angeendelea kuwa Madrid angemchukua maana alikuwa anampenda. Ni kwa sababu tu hakuruhusuiwa kusajili kipa katikati ya msimu
“Kepa is very talented,” Zidane said,
Kuna jamaa wa sportkeeda.com wamemuweka na. 10 bora duniani (Maoni ya Sept 2018)
Page 10 - Ranking the 10 best goalkeepers in the world
- David de Gea (Manchester United)
- Jan Oblak (Atletico Madrid)
- Marc-Andre ter Stegen (Barcelona)
- Thibaut Courtois (Real Madrid)
- Ederson (Manchester City)
- Alisson Becker (Liverpool)
- Samir Handanovic (Inter Milan)
- Manuel Neuer (Bayern Munich)
- Jordan Pickford (Everton)
- Kepa Arrizabalaga (Chelsea)