Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

People are too judgemental. Yan naanza kupata picha ni kwa namna hali itakua ikiwa tutafungwa. Ila ndio upinzani wenyewe tuwe wavumilivu katika hili.

Kwa upande wangu game ilikua ngumu na tulipoteza nafasi mwanzoni. Everton back line yao ilikua solid sana. Walikua hawafanyi makosa ya kizembe, so far matatizp yetu yanajulikana striker bado ni tatizo na viungo naona nao wanaanza kupoteana. Bado tuna tatizo na kufanya faulo nyingi mpaka tunapata kadi nyingi hii inaweza kutu cost endapo tukapata kadi nyekundu

Wana blues tuwe wapole achaneni na hao maneno yao ndio kwanza Sarri yuko kwenye msimu wake wa kwanza na anafanya wonders kama zote. Kuna watu ni msimu wa tatu hawajanyunyua makwapa na kujua kwao mpira.

Kuweni wapole. Holla Bluees!!!
 
Mi naitafuta namba moja bhana. Hiyo namba nawaachia mnaoihitaji
Karibu, nina uhakika hautakuja kwa zile spidi, maana mlitujalia, mara Chelsea, Arsenal, Man Utd yaani ilikuwa shida aisee.

Hiyo namba tatu Tottenham mnaigombania naye, sisi tunakimbizana na Man City, sema jamaa wanapenda sifa sana.
 
Kama CFC FAN game tatu tumecheza mpira hovyo ni hizi
; -
1 westham
2 bate
3 everton

Chanzo

Kocha kuwawek willian na haard + kovacic in first eleven
Inatakiwa mmja wao atoke benchi akiwa amesoma game

Mashambukiz ya pemben yamepitwa na wakat hii si la liga tunaitaji mashambuliz kutoka kat
Maan pemben hakun mtu mzur wa kumalizia
 
Liverpool win
Chelsea win
Man city win
Arsenal win or draw

Mhhh!
Jamani ndugu zanguni msivunjike moyo,mwaka huu lengo liwe kurudi Champion League sio kuchukua ubingwa!
Mkitengeneza team mwakani hapo mnaweza kuwa title contender
Mwaka huu hamna mtu wa kufunga
 
Kama CFC FAN game tatu tumecheza mpira hovyo ni hizi
; -
1 westham
2 bate
3 everton

Chanzo

Kocha kuwawek willian na haard + kovacic in first eleven
Inatakiwa mmja wao atoke benchi akiwa amesoma game

Mashambukiz ya pemben yamepitwa na wakat hii si la liga tunaitaji mashambuliz kutoka kat
Maan pemben hakun mtu mzur wa kumalizia

Upepo ushakata tayari, mpaka December ifike ili mfanye usajili mtakuwa mshaachwa mbali.
 
Kama EVERTON ni timu bora je Man City & Spurs watakuwa nani?
Coz utakumbana nao karibuni!!!

Hahahahaha Mkuu acha kuwatisha wazee unbeaten, wapo tayar kudraw mechi zote hata kama wanacheza na Everton ilimrad tu wabakie kuwa unbeaten
 
MOST CHAMPIONSHIPS
1. 20 - Manchester United
2. 18 - Liverpool
3. 13 - #Arsenal
-
MOST FA CUPS
1. 13 - #Arsenal
1. 12 - Mancester United
3. 8 - Tottenham Hotspurs
-
MOST CHAMPIONS LEAGUE
1. 5 - Liverpool
2. 3 - Manchester United
3. 2 - Nottingham Forrest
-
MOST COMMUNITY SHIELDS
1. 21 - Manchester United
2. 15 - Liverpool
3. 14 - #Arsenal
-
MOST TROPHIES OVERALL
1. 63 - Manchester United
2. 60 - Liverpool
3. 43 - #Arsenal
-
MOST RELEGATED CLUBS
1. 5 - Chelsea
2. 5 - Manchester City
3. 4 - Tottenham Hotspurs
-
And you think Chelsea is a football
club in London?
Chelsea is a night club so don't compare cheshit
with the kings of England and the only king in London (Arsenal)
 
MOST CHAMPIONSHIPS
1. 20 - Manchester United
2. 18 - Liverpool
3. 13 - #Arsenal
-
MOST FA CUPS
1. 13 - #Arsenal
1. 12 - Mancester United
3. 8 - Tottenham Hotspurs
-
MOST CHAMPIONS LEAGUE
1. 5 - Liverpool
2. 3 - Manchester United
3. 2 - Nottingham Forrest
-
MOST COMMUNITY SHIELDS
1. 21 - Manchester United
2. 15 - Liverpool
3. 14 - #Arsenal
-
MOST TROPHIES OVERALL
1. 63 - Manchester United
2. 60 - Liverpool
3. 43 - #Arsenal
-
MOST RELEGATED CLUBS
1. 5 - Chelsea
2. 5 - Manchester City
3. 4 - Tottenham Hotspurs
-
And you think Chelsea is a football
club in London?
Chelsea is a night club so don't compare cheshit
with the kings of England and the only king in London (Arsenal)
Naona unafurahia historia uliyoikuta hujawah shuhudia team yako inanyanyua kwapa miaka inakata tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom