Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ivi HAZARD alikuwemo leo?

Moto Wa mabua bhana utaujua tu 😀😀

Eti goli 30+ ...! Kwani goli 30+ ni Matako ya Wabongo kama ukitoka nje unayaona. 😀😀😀
 
Nikiri haikuwa bahati yetu leo
Mpira ulikataa kabisa kuingia golini
Willian alishindwa kufunga
Hazard pia
Alonso kakosa mara kibao tu
Haikuwa bahati yetu chelsea leo hilo ndilo Neno unaloweza kutumia
Japo imenihuzinisha sana tulitakiwa tushinde goli 2 leo

Pongezi kwa Everton na kipa wao kwa kazi nzuri ya kuhakikisha hawatupi nafasi pana ya kuchungulia

Yote kwa yote match ilikuwa ngumu na league bado mapambano yanaendelea

Draw haikustahili kwa chelsea leo tulipata nafasi ya kuamua matokeo lakini tukashindwa wenyewe
 
Pedro alitakiwa kuanza hii game, sijui kwanini kocha akamuanzisha Willian. Ningekuwa mimi natoa Willian na Hazard halafu natia Pedro na Giroud baada ya hapo ni mipira ya juu vichwa kumalizia
Kwa mara ya kwanza mtu kamkataa Hazard
 
Kwa mara ya kwanza mtu kamkataa Hazard

Everton wana Idrissa Gueye ambae ana tacke success rate ya 74% na ndio maana umemuona Hazard alikuwa hajaribu kumdribble huyo jamaa, na jamaa walikuwa wanakaba haswa unafikiri solution ni nini
 
Everton wana Idrissa Gueye ambae ana tacke success rate ya 74% na ndio maana umemuona Hazard alikuwa hajaribu kumdribble huyo jamaa, na jamaa walikuwa wanakaba haswa unafikiri solution ni nini
Sijui mm
Solution naonaga wanasema ni Hazard sasa sijui kama alikuwemo au hakuwepo
 
Haikuwa bahati na ni uzembe wa wachezaji wetu kushindwa kuzitumia nafasi walizopata
Screenshot_20181111-193027.jpg
 
Wameukimbia Uzi teh teh teh teh teh teh 😀😀😀
Tupo mkuu. Ndiyo hali ya mchezo.

Kushinda, kudraw na kupoteza. Ingawa nilitamani Sana ushindi but hatuweza kupata nafasi ya kufunga. Not bad...tutajipanda upya.

Note. Tumecheza mechi 18 katika michuano yote ya Europe bila kufungwa. Tupo kwenye right truck.....!!!
 
Ivi HAZARD alikuwemo leo?

Moto Wa mabua bhana utaujua tu 😀😀

Eti goli 30+ ...! Kwani goli 30+ ni Matako ya Wabongo kama ukitoka nje unayaona. 😀😀😀
Tumia Lugha nzuri mkuu
Hazard alicheza na hakuwa na bahati tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom