Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Watoto hawalali na pesa siku zot
images(20).jpg
 
Tuombe radhi washabiki sote Wa soccer kwa kumueka CR7 a.k.a Mmorocco mbele ya Messi.
Hakuan chga radhi
Tukiweka cretaria ndio itasaidia kuwarate
Kwenye goals scoring CR7 yuko vizuri wakati kwenye kucheza mpira na kufunga Messi yuko vizuri. Mimi nimetoa kwa goal scoring criteria
 
Hakuna cha uchelsea ndugu neymar kiwango hakipo kwa sasa Mpaka mbape anamfunika kwa sasa
Yaani mbape kwa sasa ana kiwango kumzidi neymar
Ukweli lazima usemwe
Kiwango cha mchezaji hatuwezi kurule out kwenye few matches, at least msimu uishe ndio tuseme ameshuka
 
PSG ni team isiyo na ushindani pamoja na mastaa wote wale?
Neymar anajuta kutoka Barca, ameanza kuomba kurudi na kwa sasa Barca wanafikiria. Tetesi zinaonyesha kuwa pamoja na ligi kutokuwa na ushindani piua Mbape ni tishio la Neymar pale PSG
 
Karabao Cup Quarter Final
  1. Arsenal vs. Tottenham Hotspur
  2. Leicester City OR Southampton vs. Manchester City OR Fulham
  3. Middlesbrough vs. Burton Albion
  4. CHELSEA vs. AFC Bournemouth
 
Bingwa wa Carabao cup anacheza leo wengine Ahsanteni kwa kushiriki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom