radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
Kweli huyo jamaa ana masihara sana.Sasa wakati umeshaingiza Uchelsea itabidi nikuache tu uendelee Mimi ninaishia hapa.
Kweli huyo jamaa ana masihara sana.Sasa wakati umeshaingiza Uchelsea itabidi nikuache tu uendelee Mimi ninaishia hapa.
Hakuna cha uchelsea ndugu neymar kiwango hakipo kwa sasa Mpaka mbape anamfunika kwa sasaSasa wakati umeshaingiza Uchelsea itabidi nikuache tu uendelee Mimi ninaishia hapa.
Nasubir vikosi nimpe derby 0ver 0.5
Neymar alichoboa ni kujiangusha kombe la dunia lakin kwamba kiwango kimeshuka hapana kwa sasa macho yapo kwa mbape kwa kuwa anachipukia lakin neymar akiwa ktk timu yenye ushindani ni habar nyingineHakuna cha uchelsea ndugu neymar kiwango hakipo kwa sasa Mpaka mbape anamfunika kwa sasa
Yaani mbape kwa sasa ana kiwango kumzidi neymar
Ukweli lazima usemwe
Hii sio man u nduguNasubir vikosi nimpe derby 0ver 0.5
PSG ni team isiyo na ushindani pamoja na mastaa wote wale?Neymar alichoboa ni kujiangusha kombe la dunia lakin kwamba kiwango kimeshuka hapana kwa sasa macho yapo kwa mbape kwa kuwa anachipukia lakin neymar akiwa ktk timu yenye ushindani ni habar nyingine
Kwahyo unaukataa tena utabir wako au vp?Hii sio man u ndugu
This is chelsea ya maurizio sarri