Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kama tutampata huyu striker kama Sarri anavyoitaka bodi imletee nadhani tutakua pazuri sana. Pamoja na Rugani akisimama kama centre back kuwa saidia kina Rudiger na Luiz. Hehee EPL itaeleweka tu.
IMG_20181006_171409_748.jpeg
 
Unapoutazama Mpira Kwa Upofu Siku zote Utaendelea Kuwa Kipofu...

Kinacholeta Mashaka Ni Mpale Mshabiki Wa Chelsea anaposema "Chelsea ina Miezi Miwili tu Kwa Sarri lakini inafanya Vizuri"!!!!

Hivi Kwa Pale Uengereza Ukitoa Chelsea na Spurs Ni Timu gani Nyengine Wachezaji Wake Waliokaa Kwa Muda Mrefu na Kutengeneza Chemistry ya Muda mrefu?

Kinachowaangusha Spurs Ni Kuwa Uwekezaji wao Ni Mdogo Wanawekeza Kwa Wachezaji Wa kawaida (Average)..

Lakini Chelsea Kwa Muda Mrefu Wamewekeza Kwa Wachezaji Waliokuwa Talented hapo Mwanzoni ambao Wapo Kwenye Timu Kwa Muda Mrefu 3+ years.

Sasa Sarri ana miezi Miwili lakini Wachezaji hawana Miezi Miwili na Ndiyomana unakutia Hata Yule Kocha Wa Ndondo Conte alibebwa na Timu akachukua Kombe.

Tofauti na Timu Zetu Man United, Arsenal na Liverpool ambazo Kila Window unakutia Sura Mpya Makocha Wakihangaikia Kutengeneza Chemistry jambo ambalo Linahitaji project ya Muda mrefu.
Msimu uliopita chelsea ilishika nafasi ya 5 unajua sababu ilikuwa ni nini?
Unachotakiwa kujua team ni mwalimu na sio vinginevyo
Mwalimu akielewana na wachezaji vizuri team yoyote bila kujali ina wachezaji wa levo ipi lazima ifanye vizuri
We hujiulizi Man united msimu uliopita ilitwaa taji la europa league na wachezaji hawahawa ambao leo wana nongwa na mwalimu wao mourinho
So team ni mwalimu na sio habari wachezaji wamekaa pamoja muda gani
 
Point dhaifu kabisa. Kepa Arrizzabalaga, Antonio Rudiger, Alonso, Jogihno, Kovacic, Kante, Barkley, Morata, Giroud; zaidi ya wachezaji saba na wote ni wa kikosi cha kwanza. Na hawajafikisha hata misimu mitatu.

Msimu huu mmemsajili Allison na Keita kama wachezaji ambao ni ingizo katika kikosi cha kwanza. Chelsea wakati huohuo imewasajiri Kepa, Jogihnho na Kovacic. Sasa sijui unazungumzia chemistry ipi?

Useme tu Liverpool inasajiri wachezaji wa kawaida na hivyo inawachukua muda ku-click. Mwangalie VVD ameingia mara moja ktk kikosi cha kwanza.
Asante sana kwa kumjibu vema kabisa mkuu
Tatizo lake anatafuta pa kukimbilia ili Liverpool isipotwaa ubingwa ionekane miaka minne ya jugen bado anatafuta chemistry Kumbe wachezaji ni wa kawaida sana wanaosajili
 
Alonso?
Kante?
Hawajitimiza Misimu 3????

Anyway! You are right No need to argue with my Pumba.
Kante kamaliza msimu wa 2015 na Leicester kwa hiyo amekuwa Chelsea 2015/2016, 2016/2017 na huu ndo msimu wa tatu bado hata haujakamilika. The same with Alonso. Hiyo sentensi yako ya mwisho siwezi kuijibu because my moral standard is higher than that
 
Kante kamaliza msimu wa 2015 na Leicester kwa hiyo amekuwa Chelsea 2015/2016, 2016/2017 na huu ndo msimu wa tatu bado hata haujakamilika. The same with Alonso. Hiyo sentensi yako ya mwisho siwezi kuijibu because my moral standard is higher than that
POINT OF CORRECTION!
Kante na Alonso wamekuja 2016 siyo 2015. Kwahiyo wameanza kuwepo msimu wa 2016/2017 na si 2015/2016.
 
Mzee wa "some one will suffer" .. Klopp has been there long enough kumfananisha na Sarri ,.. kubali tu somewhow Sarri ameweza kuunda Chemistry ya timu kwa formation yake kwa muda mfupi kuliko watu walivyotarajia .. 4 seasons and counting endelea kusubiri Mo Michu afufuke maana bila hivyo "Futuhi" itawahusu next season
 
Ikiwa City na Chelsea wapo Kwenye Top 4, nafasi Mbili Zilizobakiani Ni Liverpool, Spurs, Arsenal na Man United....

Kama Nitakosa Top 4 kwasababu ya Salah kama unavyojiaminisha! Basi Na Spurs atakosa Top 4 kwasababu ya Harry Kane kwasababu Kane naye Muda huu Kaflop kama Salah.. Au unasemaje?

Ukweli usiofichika Ni Kwamba Spurs Na Man United msimu huu Hawana ubavu Wa Kumaliza Juu Yangu.
So, Sina worry yoyote ya Mwakani Kucheza UCL...
Futuhi sio Kimbilio langu Kwa Next season.

My take: Lolote laweza Kutokea
 
*Dondoo za international break*
*timu ya wakubwa iliyoitwa*

*Kepa,Azpilicueta,Morata,Alonso*
*Emerson,Jorginho*
*Kante,Giroud*
*Christensen*
*Rudiger*
*🇽🇼Ampadu*
*Kovacic*
*󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿Barkley*
*Hazard*

*walioko kwa mkopo klabu mbalimbali na wameitwa*

```󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿Aina
Omeruo
Miazga
Zouma
Hector
Pasalic
Angban
󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿Mount
Batshuayi```

*ambao hawajaitwa kutoka timu ya juu*

```Caballero, Green, Zappacosta, Luiz, Cahill, Fabregas, Drinkwater, Loftus-Cheek, Pedro, Willian, Moses, Piazon```

*Ambao wameitwa kutoka timu za vijana*

```Poland U20 : Bułka
Scotland U21 : Gilmour
Netherlands U19 : Castillo, Redan
England U21 : Clarke-Salter, Tomori, Abraham
U20 : James, Dasilva, Chalobah
U19 : Guehi, Lamptey, Gallagher, McEachran, Hudson-Odoi
U18: Anjorin
U17 : Livramento
Serbia U21 : Pantic

```
*Fabregas "nikiwa kocha nitaiga Sarriball"*
```"nimekuwa hapa kwa wiki 2 tu,baada ya kuwa nje kwa wiki 7 au 8 hivi,najisikia vizuri sana na siku waza kama nitapata tena furaha klabuni hapa na kujisikia vizuri..
Kwa njia anayotumia Sarri na mpira unavyo onekana nimependa labda baadae nikiwa kocha basi na mimi nitaenda sambamba na anavyofanya Sarri ni kitu nachopenda na kukiona pia..."
```
*Fabregas anaingoja Chelsea*
```fabregas anaisubiri Chelsea impe mkataba mpya,anasema
"nimebakiza miezi 8 hapa,ningependa kubaki hapa,nimekuwa hapa kwa furaha miaka minne na nusu,najisikia bado nina mpira umebaki ndani yangu,bado nimebaki nao,hivyo naiachia klabu kuamua"```

*Sarri nimeshangazwa na wachezaji wa Chelsea*
```"Nimeshangazwa,nina bahati sana kuwa na wachezaji bora na tuna bahati pia kuwa na matokeo chanya ni kutokana na wachezaji wazuri,ni kweli ni tofauti na msimu uliopita lakini hii timu ia wachezaji wazuri kuendana na mtindo wangu wa uchezaji"```

*Eden Hazard akoshwa na Kepa*
```"Kepa ni kijana mdogo na golikipa mzuri,pale unapomleta mtu kama huyu kwenye timu,ni vizuri sana kwa kweli,tulimpoteza golikipa bora duniani,lakini timu ni bora zaidi msimu huu kuliko msimu uliopita na tunaliona hilo kila wikiendi"```

*Mazoezi ya Sarri yamkera Willian*
```kipindi cha Conte wachezaji pale mechi inapokaribia walikuwa wanaambiwa wakae kwenye hotel karibu na Stamford ili kupiga tizi la maana,lakini Sarri anawaruhusu wachezaji watoke nyumbani sababu ana amini ni wachezaji wa kimataifa na hawapangii vitu vya kula wala kunywa, embu tumuone willian amekereka nini, anasema
"kwa kweli siyapendi mazoezi ya Sarri ya jioni,huwa napenda kufanya asubuhi,kwa sababu baada ya hapo tunaweza kukaa na familia zetu,nikiwa mazoezini jioni, watoti wangu wanarudi nyumbani, na nikifika nyumbani nakuta wameshakula na wamelala hivyo nawaona mara chache sana,ndo maana sipendi mazoezi jioni ..."
sasa. willian ukifika hata saa nane usiku hamsha watoto Wasalimie ukichoka waache walale ....```

*Sarri ni baba yake Jorginho***
```"...kwenye vyumba vya kubadilishia nguo huwa tunamwita Sarri baba yake Jorginho kwani wanacheka wanaongea pamoja,naelewa kwa nini,kwa sababu Jorginho amefanya maisha kuwa mepesi kwetu,anakupa mpira sahihi katika wakati sahihi..." alisema Hazard
```
*.Hazard amsifu Kante*
```"...Kante amewapa kombe la dunia ufaransa ,miaka miwili iliyopita alisaidia Chelsea kuchukua EPL na pia alisaidia Leicester kuchukua EPL ni mchezaji mzuri sana anasimamia vizuro idara ya kiungo,na ni mtu mzuri pia nje ya uwanja ..."```

*"Tunamuhitaji Loftus Cheek"*
```"Tunamkubali sana" hiyo ni kauli ya kocha wa Crystal Palace ,Roy Hudgson akisema wangependa Loftus ajiunge na klabu yao kama Chelsea itapenda kumtoa kwa mkopo januari```

*Chelsea anaweza kuwa bingwa*
```Hiyo ni kauli ya kocha wa Southampton ambaye kesho anacheza na Chelsea mida ya saa 10:15 jioni kwa saa za hapa bongo amesema
"...Chelsea wanaweza kuchukua ubingwa na tunahitaji bahati kuwa upande wetu kushinda mchezo huo..."```

_endeleeni kumsapoti Mr darajani katika kurasa mbalimbali za mitandao ya kijamii kama_ *Instagram,Twitter,Facebook* _kwa habari ya za Chelsea hata Nondo zangu pia atazipost yeye huko ili kufikia_ _jamii kubwa ya Wanadarajani_
_
```follow``` *@Darajani1905* _mimi tayari wewe unasubiri nini_

... *Caleb Azpilicueta*
 
Dressing room banter. Eden Hazard in @thetimes: “In the dressing room we say that Sarri is the father of Jorginho because they always talk & laugh together. I understand why because Jorginho is a fantastic player. He makes life simple for us: the right ball at the right moment.”
 
I have a theory. Sarri wants all his senior squad (fringe players) to know & learn his style of play first. This is why we are seeing Moses ahead of CHO, Cahill ahead of Ampadu etc (not that I agree with it, but I trust Sarri & I do get it).

Hoping the youth will learn next.
 
Eden Hazard on Maurizio Sarri changing training times.

‘It’s a bit different, so we need to adapt but, when you win games, you don’t care.

‘I can even train in the evening at 9pm – if we are winning, I would be happy.’

Willian can learn a lot from hazard. Willian analalamika sana
 
Maurizio Sarri has reportedly asked Chelsea to bankroll the signings of Krzysztof Piatek and Daniele Rugani. (il Corriere dello Sport ) #CFC
Mkuu tukipata hivi vichwa viwili au hata kimoja, sijui ni timu gan epl itaweza kutuzuia.

Nmemcheki uyo dogo Rugani you tube, ni balaa ..january tufanye kweli aise! Body iache utani kabisa
 
Wachezaji wa kikosi cha kwanza waliotimiza misimu mitatu katika timu hizi (nawataja kwa uchache):

MAN UNITED:
De Gea
Valencia
Smalling
Jones
Baily
Shaw
Young
Fellaini
Herrera
Mata
Pogba
Rashford
Martial

LIVERPOOL:
Lovren
Milner
Wijnaldum
Henderson
Mane
Firmino
Sturridge

ARSENAL:
Cech
Bellerin
Mustafi
Koscielny
Monreal
Xhaka
Ramsey
Iwobi
Ozil
Welbeck

Note: Nime include na wanaokaa bench mara kwa mara.
Mkuu vip na wa Chelsea ambao hawajatimiza misimu mitatu...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom