Rosh Hashannah
JF-Expert Member
- Sep 13, 2017
- 3,415
- 2,044
Nmesoma pumba zako. Unachekesha kwan Chelsea alichezesha first eleven yake?Kwani ukifungwamo CARABAO ile UNBEATEN
yako EPL inakua inaondoka???? Mmecheza na
LIVERPOOL MABORESHO ile jana..... Hivi nyie
WOWOWO mmeshawahi kushinda ALLISON
BECKER akiwa Golini???
waulizeni wenzenu SPURS watawaambia
LIVERPOOL ni timu ya aina gani inapofika
kwenye EPL msimu huu..... Hivi vikombe vya
kucheza FAINALI tumeamua kuachana navyo coz
havisaidii vibarua vya watu
...... Kwani unadhani MORINYO hana CARABAO
CUP lakini MANURE wanataka kumtimua???
WENGA msimu uliopita alicheza FAINALI ya
CARABAO CUP baadae wakamtimua aseee.....
Hakuna kombe Fainali yake ikachezwa
FEBRUARY buana nyie WOWOWO...... Tukutane
JUMAMOSI mkiwa na kila mtu na cc tukiwa na
Watu asee