eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,400
Hakika mkuu radikaKwa sasa naona hazard yupo kwenye form ya hali ya juu sana toka aende kombe la dunia na kurudi kiwango chake kimeongezeka maradufu ukiangalia soka la ubelgiji na la sarri vinaendena kule henry anafanya yake kaja huku kakutana na hicho hicho wa kweli yupo vizur sana.