Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,534
- 81,267
Nakuhakikishia katika hizi mechi mbili tarehe 26 na 29. Ukijitahidi sana utapata sare moja.Sio mbaya...kuna Liver wa kumtolea machungu.
Kama namuona bwana mafegi akifanya kuwapumzisha akina Hazard tarehe 26 alafu akaishia kupigwa mkono na kuwaweka tarehe 29 akapigwa tena mkono mwingine.
Yajayo yanaleta hamasa.


