Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Na kumtoa Giroud kisha kumuweka Morata ni nini sijui niite. Heri angemweka Moses kisha Hazard acheze kama false 9.
 
Huyu dogo F. Anderson angekuwa anacheza upande ule wa Alonso hue da angekuwa amesababisha maafa makubwa zaidi.
 
Tuna tatizo la kubreak down opposition team. Tusipopata dawa stahiki, hali yetu itakuwa mbaya sana. Hope Sarri atanunua proven Striker come January. Imani yake kwa Morata na Giroud imeshindwa kulipwa sawasawa na muda wa kukubali hasara kwa Morata ufike tu sasa.
 
Yani Nimeangalia Mpaka Dakika Ya 72 bado Ni Bilabila, Wacha Niendelee Kubakia Neutral tu Kwasasa ili MTU Mzima Nisijeumbuka.
 
Tuna tatizo la kubreak down opposition team. Tusipopata dawa stahiki, hali yetu itakuwa mbaya sana. Hope Sarri atanunua proven Striker come January. Imani yake kwa Morata na Giroud imeshindwa kulipwa sawasawa na muda wa kukubali hasara kwa Morata ufike tu sasa.
Fowadi butu.japo kabelgiji kanaongoza ufungaji.
 
Tutawafunga tu sio muda mrefu View attachment 875475

Endelea Kusubiri Mutawafunga Kweli Muda Sio Mrefu, Na Hawa Ndiyo Wenzako Ambao Bado Munangoja Ushindi.

(3).jpg
 
Total passes this weekend
Man city -800
Liverpool -749
Chelshit -745

Sarri ball sarri nyoli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom