Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Sarri-Tumbaku bana
Hazrd mchezaji bora kwa kufunga mabao ya penalty
Bao 5 hapo mbili za penalty
Mane bao 4 zote open play,kocha mwenye akili zake hapo angenyamaza tu kimywa
Hazard-Penalty!
 
Sarri-Tumbaku bana
Hazrd mchezaji bora kwa kufunga mabao ya penalty
Bao 5 hapo mbili za penalty
Mane bao 4 zote open play,kocha mwenye akili zake hapo angenyamaza tu kimywa
Hazard-Penalty!

Wanapoongelea Ufungaji Wa Hazard Kuwa Msimu Huu atafunga 30+ goals Huwa Wameshafanya Mahesabu Kuwa Atafunga 10 Goals + 20 (Goals za Penalty) ambayo ndiyo Watapata Hizo Goli 30.

Na Hilo linawezekana Kwani Tayari Wamecheza 5 Games, 3 Penalties in 3 Games out of 5 Games.

Hazard amepiga 2 Penalties in Two Games out of 5 Games.
 
Sarri-Tumbaku bana
Hazrd mchezaji bora kwa kufunga mabao ya penalty
Bao 5 hapo mbili za penalty
Mane bao 4 zote open play,kocha mwenye akili zake hapo angenyamaza tu kimywa
Hazard-Penalty!
Kwa hiyo Sarri amsifie Mane?mzee wa majogoo unazingua ,kumbuka Hazard mechi ya kwanza aliingia kama substitution dakika 76 ,na mechi ya pili aliingia dakika ya 61 kwa hiyo amecheza muda mchache zaidi kiliko Mane. Wewe endelea kumuombea Michu wenu afufuke maana kule
 
Sarri-Tumbaku bana
Hazrd mchezaji bora kwa kufunga mabao ya penalty
Bao 5 hapo mbili za penalty
Mane bao 4 zote open play,kocha mwenye akili zake hapo angenyamaza tu kimywa
Hazard-Penalty!
Siku zote tunasema penalty ni bahati nasibu
For me penalty ni mtihani mkubwa kuliko kufunga kawaida so wapiga penalty waheshimiwe
 
Siku zote tunasema penalty ni bahati nasibu
For me penalty ni mtihani mkubwa kuliko kufunga kawaida so wapiga penalty waheshimiwe
Thubutu
Kufunga open play ina maana unajua kuji position
Hadi sasa Mane ni zaidi sababu sisi penalty zetu anapiga Milner na tumepata penalty
 
Wanapoongelea Ufungaji Wa Hazard Kuwa Msimu Huu atafunga 30+ goals Huwa Wameshafanya Mahesabu Kuwa Atafunga 10 Goals + 20 (Goals za Penalty) ambayo ndiyo Watapata Hizo Goli 30.

Na Hilo linawezekana Kwani Tayari Wamecheza 5 Games, 3 Penalties in 3 Games out of 5 Games.

Hazard amepiga 2 Penalties in Two Games out of 5 Games.
Hazard MAPENATI ?
 
Thubutu
Kufunga open play ina maana unajua kuji position
Hadi sasa Mane ni zaidi sababu sisi penalty zetu anapiga Milner na tumepata penalty
Hakuna kazi rahisi isiyo na mawazo kwa mfungaji kama kufunga kawaida
Penalty mfungaji analiona goli dogo na goalkiper anajipa asilimia nyingi tu za kuudaka
 
Sarri-Tumbaku bana
Hazrd mchezaji bora kwa kufunga mabao ya penalty
Bao 5 hapo mbili za penalty
Mane bao 4 zote open play,kocha mwenye akili zake hapo angenyamaza tu kimywa
Hazard-Penalty!
Unapoongelea takwimu jaribu na kuweka dakika walizotumia uwanjani pia.

Hazard mechi 5 alizocheza.
15+29+90+90+90=?
Mechi ya kwanza aliingia dakika ya 75
Mechi ya pili amengia dakika ya 61.

Magoli aliyofunga 3 direct from play points 2 penalties

Mane mechi 5 alizocheza.
90+90+90+90+90=?

Magoli aliyofunga 4 all from play points.

Linganisha na hili pia.
 
Premier league statistics
Screenshot_20180917-194805.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom