Shukrani mkuuFollow this link to join my WhatsApp group: THE BLUES TILL WE DIE(CFC)
Shukrani mkuuFollow this link to join my WhatsApp group: THE BLUES TILL WE DIE(CFC)
Kama tunavyowatamani.good enough Leo mmekutana na kibonde.dawa yenu IPO jikoni maana Liverpool anawatamani sana!!
good enough Leo mmekutana na kibonde.dawa yenu IPO jikoni maana Liverpool anawatamani sana!!
Liverpool wanajua kuchonga sana, Hivi wakibeba ndoo watakuwaje?
Natamani Chelsea wawasiribe michezo yote mpaka waseme ndio mzee huku wakiwa wamepiga magoti
May ni mwaka kesho tu. Tutajua Nani yupo juu man city ama Liverpool. But I hope Chelsea will prove your wrongHivi Munaonaje Kulazimisha Upinzani Usiokuwepo?
Liverpool haijawahi na Wala Haitowahi Kuwa na Mpinzani Chelsea....
Our True Rival Ni Man United na Si Nyie..
Nyie Mpinzani wenu ni Fulham na Spurs...
Musiforce Kuandika Historian Ya Upinzani isiyokuwepo Wakati Timu Yenyewe imeanzishwa 2004.
Na Ninawashangaa Kukomalia Kushindana na Liverpool Wakati Ligi in Timu 20.
Sisi hatushindani na Nyinyi basi mukae Mukijua Kwamba Tunafocus game after game huku Tukimuangalia Kwa Karibu Man City na Sio Nyinyi.
Hivi Munaonaje Kulazimisha Upinzani Usiokuwepo?
Liverpool haijawahi na Wala Haitowahi Kuwa na Mpinzani Chelsea....
Our True Rival Ni Man United na Si Nyie..
Nyie Mpinzani wenu ni Fulham na Spurs...
Musiforce Kuandika Historian Ya Upinzani isiyokuwepo Wakati Timu Yenyewe imeanzishwa 2004.
Na Ninawashangaa Kukomalia Kushindana na Liverpool Wakati Ligi in Timu 20.
Sisi hatushindani na Nyinyi basi mukae Mukijua Kwamba Tunafocus game after game huku Tukimuangalia Kwa Karibu Man City na Sio Nyinyi.
Yajayo yanafurahisha5 games ,5 goals ,2 assistsEden Hazard , Yule mwingine kule sijui amekula maharage ya wapi..One season wonder
Raha ya mpira ushindi, magoli, kumiliki possession n.k historia tuwaachie mababu zetu.Halafu Jengine Naona toka Ligi ianze Kuna Mashabiki Wanapost Kuhusu Salah tu! Vipi Kuna Kombe la Salah Linawaniwa au?
Naona Baada Ya Kuconcentrate na Analysis za Timu yenu Mumekuwa Mukijadili Ya Liverpool tu.
Kila Siku eti Salah ana magoli mangapi!!!!
Hivi Salah Kuna Mtu Chelsea anashindana nae au?
Basi isiwe taabu baada ya game yetu ya jana..hata mimi naichukulia Liverpool kama timu ya kawaida sana ambayo zamani za mfalme Herode iliwahi kuwa timu kubwa Uingereza na Ulaya. Baada ya game zetu za mwezi huu wala hutaniona nikikufuatilia.Mimi Sishindana Na Chelsea pekee Bali Nashindana na Timu 19.... Lakini Nyinyi Munaforce ionekana Kama Mpinzani Wetu Mkuu Ni Chelsea Wakati Sisi Hatuna Kitu Hicho.
Sisi Chelsea kwetu Ni Timu Ya Kawaida tu Na Wala sio Mpinzani wetu.
Salah is our reject..a one season wonder.Halafu Jengine Naona toka Ligi ianze Kuna Mashabiki Wanapost Kuhusu Salah tu! Vipi Kuna Kombe la Salah Linawaniwa au?
Naona Baada Ya Kuconcentrate na Analysis za Timu yenu Mumekuwa Mukijadili Ya Liverpool tu.
Kila Siku eti Salah ana magoli mangapi!!!!
Hivi Salah Kuna Mtu Chelsea anashindana nae au?
Lampard is one of the best attacking midfielder of all time in the World, halafu uchezaji wao umetofautiana kabisa. Wakati Hazard yeye ni mzuri kwenye ku drible, Lampard alikuwa best kwenye kufeed mipira hatari na pia kwenye kufunga mabao hasa yale yanayotokea kwenye imposible anglesLampard moto mwingine bhana.
Na sisi Chelsea tunamaajabu sana ya kutafuta upinzani na maiti aliyezikwa tangu 1990Hivi Munaonaje Kulazimisha Upinzani Usiokuwepo?
Liverpool haijawahi na Wala Haitowahi Kuwa na Mpinzani Chelsea....
Our True Rival Ni Man United na Si Nyie..
Nyie Mpinzani wenu ni Fulham na Spurs...
Musiforce Kuandika Historian Ya Upinzani isiyokuwepo Wakati Timu Yenyewe imeanzishwa 2004.
Na Ninawashangaa Kukomalia Kushindana na Liverpool Wakati Ligi in Timu 20.
Sisi hatushindani na Nyinyi basi mukae Mukijua Kwamba Tunafocus game after game huku Tukimuangalia Kwa Karibu Man City na Sio Nyinyi.
You seeMimi Sishindana Na Chelsea pekee Bali Nashindana na Timu 19.... Lakini Nyinyi Munaforce ionekana Kama Mpinzani Wetu Mkuu Ni Chelsea Wakati Sisi Hatuna Kitu Hicho.
Sisi Chelsea kwetu Ni Timu Ya Kawaida tu Na Wala sio Mpinzani wetu.
Hayo ni makapi yetu, nyie si ndio wale watoto wa mtaani kusubiri makapi ya wakubwa ndio survival yenuHalafu Jengine Naona toka Ligi ianze Kuna Mashabiki Wanapost Kuhusu Salah tu! Vipi Kuna Kombe la Salah Linawaniwa au?
Naona Baada Ya Kuconcentrate na Analysis za Timu yenu Mumekuwa Mukijadili Ya Liverpool tu.
Kila Siku eti Salah ana magoli mangapi!!!!
Hivi Salah Kuna Mtu Chelsea anashindana nae au?
Hayo ni makapi yetu, nyie si ndio wale watoto wa mtaani kusubiri makapi ya wakubwa ndio survival yenu
Hahaaa.. Kwa hiyo afufuke kwanza au siyoNa sisi Chelsea tunamaajabu sana ya kutafuta upinzani na maiti aliyezikwa tangu 1990