ryana fan
JF-Expert Member
- Apr 27, 2018
- 2,632
- 3,051
Kuna mtu kasema Eden Hazard atachukua kiatu?.......Sisi tunafurahi Eden anafunga full stop. Maswala ya viatu inajulikana next yearSave hii hazard hawez chukua kiatu
Kuna mtu kasema Eden Hazard atachukua kiatu?.......Sisi tunafurahi Eden anafunga full stop. Maswala ya viatu inajulikana next yearSave hii hazard hawez chukua kiatu
Hajui kama kumenoga sana kiasi cha mpira wote unamwagika tuMore to Come........Mengi yanakuja......Rudi nyumbani kijana Kumenoga, sasa hivi ni pilau nyama kila uchao.......
Pia cheki huyu jamaa, si mimi ila ni takwimu zinaongea......
View attachment 869920
Soma hapa chini majibu ya Sarri alipohojiwa na Mwandishi wetu kuhusu Jorginho......
Jorginho ni zaidi ya mpikaji pale dimbani, anatoa amri kwa wachezaji wenzake wacheze vipi, Ni Mwanaume wa shoka kwa Sarri, anafundisha namna ya uchezaji kwa mfumo mpya wa kushambulia kwa kasi wakiwa wanamiliki mpira kwa kiasi kikubwa hasa wakishavuka mstari wa kati (Pressing....) Huu ni mfumo mpya na mtamu kabisa ukiringanisha na ule wa Conte pamoja na Jose ambao timu ilishinda ligi kwa kupaki basi, lakini huu ni tofauti kabisa.
Sarri anaendelea kusema kwamba " Ni kucheza mpira na si kukimbia na mtu - Jorginho analijua hilo zaidi ya mtu yeyote na ndiyo maana akienda ku-press mbele anajua kama wakipoteza mpira awe wapi kwa wakati gani ili kuwalinda mabeki wake 4, hilo sina wasiwasi nalo kabisa
More to Come..................This is Chelsea...... Raha tupu kila weekend......Rudi nyumbani kumenoga....
Hajui kama kumenoga sana kiasi cha mpira wote unamwagika tu
Nitawaonea huruma sana pindi Fabrigas atakapo rudi dimbani aisee, yani kutanoga sana pale kati...Hajui kama kumenoga sana kiasi cha mpira wote unamwagika tu
Watapokezana na kovacicNitawaonea huruma sana pindi Fabrigas atakapo rudi dimbani aisee, yani kutanoga sana pale kati...
Na huyu mtoto wa kiingereza utamuacha aiseeWatapokezana na kovacic
Mo Michu katupia goli ngapi Leo?Wazee wa futuhi mpo
Sasa mnaanza kuchambua mchezaji mmoja 1Mo Michu katupia goli ngapi Leo?
Liver tulieni ndo maana mkikutana na wahuni kila mtu anawacheka,YNWA
Vp nyie mnacheza lini ??Liver tulieni ndo maana mkikutana na wahuni kila mtu anawacheka,
yaani kumfunga psg tena mkiwa kwenu, limekua neno wakuu?
-tulieni asee ligi ndo kwanza imeanza hiyo.
-kesho, kwani shida iko wapi mkuu?Vp nyie mnacheza lini ??
Tunawasubiri kwa hamu kubwa,Hahaha
Tukutane 29sept
Kwenye TvWazima humu? Uefa mnacheki wapi ?
Penalty nayo ni ufundi. Kwa nn jana penalty hakupewa apige Trent akapewa Milner.? Jenga hoja acha wivuHazard Mapenati
Hana jipya hadi penati