Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Na mbele yao ni;

Willian/Pedro
Hazard/Odoi
Morata/Giroud/Batshuayi.

Hadi dirisha litakapofungwa...


Mkuu ingelikuwa Timu inafanya Rotation ya Wachezaji basi ingelikuwa hivyo na Wachezaji Wote Wangelicheza.
Lakini Kwa Timu Kufanya Sub basi Ngolo na Joginho si Rahisi Kufanyiwa Sub kwani Hao Ndiyo Watakaokuwa Engine ya Timu.. Kwahiyo Mbadala Wa Hao Watalazimika Kusota Benchi Mpaka Wasuburi Carabao na FA au Kutokee Majeruhi.
Sub itafanyika Mara nyingi Kwa Wale 3 Wa Mbele (Willian-Gir/Mor-Hazard).

Na Kibaya Zaidi Msimu Huu Hakutakuwa na WC au Euro Qualifications, Kwahiyo Timu Hazitofanya Rotation.
 
Halafu kiulizio tu...

Kwa mfumo wa sasa Zappacosta na Victor Moses wanahesabika ni defense bado ama wingers/attacking mids?


Kama Utafatilia Vizuri Ujio Wa Sanchez Pale Man United umeivuruga totally Career ya Martial na Rashford na Kubadili Mwelekeo Mzima Wa Mfumo Wa Timu.

Sasa ligi itakapoanza pia utakuja Kugundua Kuwa Ujio Wa Joginho utakuja Kuuwa Kwa Baazi ya Career za Wachezaji. Lakini Hili si tatizo kwasababu tunasema "SUCCESS REQUIRES SACRIFICES".. Kwahiyo ni Lazima Kocha Kuna Wachezaji Awasacrifice.

Siku Zote Usajili una FAIDA zake na HASARA zake.
 
Kama Utafatilia Vizuri Ujio Wa Sanchez Pale Man United umeivuruga totally Career ya Martial na Rashford na Kubadili Mwelekeo Mzima Wa Mfumo Wa Timu.

Sasa ligi itakapoanza pia utakuja Kugundua Kuwa Ujio Wa Joginho utakuja Kuuwa Kwa Baazi ya Career za Wachezaji. Lakini Hili si tatizo kwasababu tunasema "SUCCESS REQUIRES SACRIFICES".. Kwahiyo ni Lazima Kocha Kuna Wachezaji Awasacrifice.

Siku Zote Usajili una FAIDA zake na HASARA zake.

Haha mkuu umenijibu vyema mpaka nikakosa swali la nyongeza.

Mengi tusubiri msimu uanze nadhani tutafahamu vyema kocha anapendelea nini na nini.
 
Chelsea kwa sasa tumekamilika . tunasubiri kubeba ubingwa tu.

Hilo halina ubishi.
 
Huyu Nikki sio mtu wa Arusha kweli? Sijawahi kusikia watu wa maeneo hayo wakiwa na tatizo hili. Kama ni kweli basi hali inazidi kuwa mbaya...
Uyo dgo udsm umemwingia sana amesahau culture ya kwao Arusha.

Hakuwa ivyo hapo back in the day...
 
Mimi kuna sehemu nina wasi wasi nayo
Sehemu ya ushambuliaji basi.
Kama morata atagain confidence basi sina shaka na hilo
Ulimuangalia juzi mechi ya Milan?

Anyway, leo tena tunayo nafasi ya kumuona...tukutane tena baadaye tumchambue.
 
Morata ni suala la muda tu ..lazima afiti kwenye mfumo wa Sarri.

Tutegemee Morata kuwa mfungaji bora wa ligi
Kwakweli hata asipokuwa mfungaji bora atakuwa na assist za kutosha...kiwango cha juzi kilikuwa kizuri, hajiangushi hovyo, stamina...

Leo tena tunayo nafasi ya kuona improvements zake.
 
Kwakweli hata asipokuwa mfungaji bora atakuwa na assist za kutosha...kiwango cha juzi kilikuwa kizuri, hajiangushi hovyo, stamina...

Leo tena tunayo nafasi ya kuona improvements zake.
Hasa kwenye swala la one on one akiwa na golikipa naona linamsumbuaga sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom