Msanii wa bongo flavor anayefanya phd? Sijamjua...but yeah ni tatizo kubwa kwa sasa. Ebzi hizo naishi Mbagala, majirani zangu walikuwa walimu wa sekondari, na wao walikuwa wanaongea na kuandika hivyo...sipati picha wanafunzi wao.
Anyway, nawaza pale kati...Jorginho, Ross Barkley, Bakayoko, Fabregas, Kante.
Walau tunajua kocha anapendelea 4-3-3
Sasa hiyo mtu 3 kati itakayo kuwa perfect ni ipi???? The million dollar question...
Kwa hizi mechi za pre season wamecheza Jorginho, Barkley na Fabregas.
Second half ikawa Jorginho, Bakayoko na Fabregas kama sikosei ambapo Bakayoko akatoa pasi mbovu ndo Milan wakasawazisha.