Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

swap deal willian to martial. Karbu kutokea
Willian ni right attacking midfield na Martial ni left attacking midfield. Kwa maana hiyo kama Hazard atabaki huyu Martial atalazimishwa kucheza kulia otherwise Hazard aondike Martial atasaidiana na Odoi. Na hakuna mbadala wa Willian professionally.

Huu usajili wetu huu.
 
Odoi, jorginho ni hatati sana wanaujua mpira


Samahani Mkuu Naomba Kukuuliza! Kutokana Na Natural Defensive Midfielders hawa, Hivi Kante na Joginho watachezaje na Kwa Mfumo gani Wote Wawili kwa Wakati mmoja?
 
Samahani Mkuu Naomba Kukuuliza! Kutokana Na Natural Defensive Midfielders hawa, Hivi Kante na Joginho watachezaje na Kwa Mfumo gani Wote Wawili kwa Wakati mmoja?
Samahani Mkuu Naomba Kukuuliza! Kutokana Na Natural Defensive Midfielders hawa, Hivi Kante na Joginho watachezaje na Kwa Mfumo gani Wote Wawili kwa Wakati mmoja?
joginho ni no 8 au 10 kante no no 6 na ndo maana kwenye merch za majalibia kacheza na drink water pale kati
 
joginho ni no 8 au 10 kante no no 6 na ndo maana kwenye merch za majalibia kacheza na drink water pale kati

Mimi Nimeiangalia Vizuri Sana Ligi Kuu ya Italia Sikuwahi Kumuona Joginho Akicheza Namba 8 punguza Uongo.

Joginho ni Natural Defensive Midfielder (No 6) tokea alipoanza Kuichezea Napoli.

Jamaa ni Mkabaji Kama Kante ila Joginyo ni distributor mzuri zaidi kuliko Kante, Lakini Kwa Ukabaji Kante ni bora zaidi.
 
Mimi Nimeiangalia Vizuri Sana Ligi Kuu ya Italia Sikuwahi Kumuona Joginho Akicheza Namba 8 punguza Uongo.

Joginho ni Natural Defensive Midfielder (No 6) tokea alipoanza Kuichezea Napoli.

Jamaa ni Mkabaji Kama Kante ila Joginyo ni distributor mzuri zaidi kuliko Kante, Lakini Kwa Ukabaji Kante ni bora zaidi.
Umemalizia vizuri
Jorginho sio mkabaji mzuri
 
Mimi Nimeiangalia Vizuri Sana Ligi Kuu ya Italia Sikuwahi Kumuona Joginho Akicheza Namba 8 punguza Uongo.

Joginho ni Natural Defensive Midfielder (No 6) tokea alipoanza Kuichezea Napoli.

Jamaa ni Mkabaji Kama Kante ila Joginyo ni distributor mzuri zaidi kuliko Kante, Lakini Kwa Ukabaji Kante ni bora zaidi.
Kwa 4-3-3 Jorginho na Kante pair watakuwa poa sana.
 
Kwa 4-3-3 Jorginho na Kante pair watakuwa poa sana.


Umeongea Point ya Kiwango cha Kimataifa! Huo (4-3-3) ndiyo Mfumo pekee unaoweza Kuwaunganisha Kante na Joginho wakaweza Kucheza pamoja.

Lakini Je Kocha Wenu ni Fan Wa Mfumo Huo? Huenda Shida ikaanzia Hapo.
 
Umeongea Point ya Kiwango cha Kimataifa! Huo (4-3-3) ndiyo Mfumo pekee unaoweza Kuwaunganisha Kante na Joginho wakaweza Kucheza pamoja.

Lakini Je Kocha Wenu ni Fan Wa Mfumo Huo? Huenda Shida ikaanzia Hapo.
Sarri mfumo wake ni huo
 
Mimi Nimeiangalia Vizuri Sana Ligi Kuu ya Italia Sikuwahi Kumuona Joginho Akicheza Namba 8 punguza Uongo.

Joginho ni Natural Defensive Midfielder (No 6) tokea alipoanza Kuichezea Napoli.

Jamaa ni Mkabaji Kama Kante ila Joginyo ni distributor mzuri zaidi kuliko Kante, Lakini Kwa Ukabaji Kante ni bora zaidi.
hapana hujangalia napori wewe pale kuna mbraziri anaitwa Allan na ndie kawa kiungo no 6 bora itaria ndo alikuwa anacheza na joginyo
 
hapana hujangalia napori wewe pale kuna mbraziri anaitwa Allan na ndie kawa kiungo no 6 bora itaria ndo alikuwa anacheza na joginyo

Haya maneno nimeshindwa Kuyaona Katika Kamusi ili nijue maana yake:
Napori
Mbraziri
Allan
Itaria
Joginyo


Bora Nikuache tu uendelee Manake Mpira unaupenda Lakini Wewe Haukupendi.
 
Haya maneno nimeshindwa Kuyaona Katika Kamusi ili nijue maana yake:
Napori
Mbraziri
Allan
Itaria
Joginyo


Bora Nikuache tu uendelee Manake Mpira unaupenda Lakini Wewe Haukupendi.
Hahahaa nimependa hapo mwisho, anaupenda mpira, ila mpira haumpendi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom