Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,930
- 27,184
Wewe umenena umeuongelea mpira hujabase kwenye ushabiki, lakini wakija shabiki maandazi hapa watakupinga vibaya mno.Mpira unadunda huu Loserfools wanaweza kuteleza mkashangaa Chelsea ndio anaenda CL, tofauti kati ya Liverpool na Chelsea ilikuwa 11pts sasa hivi 3pts na Chelsea ana game mkononi!