Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Seriously, huyu huyu Bakanyoko ndo unataka kumsifia kwa mechi ya leo, call me plastic fan ila with or without Bakanyoko leo tungepata matokeo haya haya au yanayokaribiana na haya, Bakanyoko hajawahi kuwa" X factor" katika mechi yoyote tuliocheza msimu huu, lets talk about Ngolo,huyu jamaa ana mapafu ya mbweha hachokiiii
Trust me usipokubali tafuta hata statistics za Bakayoko. Bakayoko, Hazard, Kante, Courtois, Ludiger ni miongoni mwa watu waliperform leo
 
Tunamtegemea Brighton. Kama akiweza kudroo na Liverpool nasi tukashinda mechi mbili zilizobaki basi tunakuwa top four


Hii Game Ya BHA tunacheza Anfield Wakati Wewe Muda Huohuo unacheza Away na Newcastle (RAFA BENITEZ).

Hii Mechi Yetu Sisi Home Hatutakuwa Na Pressure Ya #CL tofauti Na Mbili Zilizopita (WBA & Stoke) ambazo tulikiwa na Pressure Ya Roma Katikati huku Wakiwa Wanataka Kujinasua Kushuka Daraja.

Lakini Hawa BHA wako Safe hawana Pressure ya Kushuka Daraja wala Kugombania [HASHTAG]#Europa[/HASHTAG]! Kwahiyo Ni Game easy Kabisa.


Nakukumbusha tu Kuwa Una Newcastle away! Ni game Ngumu Hii Kuliko unavyodhania!!!
 
Hii Game Ya BHA tunacheza Anfield Wakati Wewe Muda Huohuo unacheza Away na Newcastle (RAFA BENITEZ).

Hii Mechi Yetu Sisi Home Hatutakuwa Na Pressure Ya #CL tofauti Na Mbili Zilizopita (WBA & Stoke) ambazo tulikiwa na Pressure Ya Roma Katikati huku Wakiwa Wanataka Kujinasua Kushuka Daraja.

Lakini Hawa BHA wako Safe hawana Pressure ya Kushuka Daraja wala Kugombania [HASHTAG]#Europa[/HASHTAG]! Kwahiyo Ni Game easy Kabisa.


Nakukumbusha tu Kuwa Una Newcastle away! Ni game Ngumu Hii Kuliko unavyodhania!!!
Ngoja tusubiri 80 minutes zituamlie
 
IMG_20180506_213548.jpg
 
Hii Game Ya BHA tunacheza Anfield Wakati Wewe Muda Huohuo unacheza Away na Newcastle (RAFA BENITEZ).

Hii Mechi Yetu Sisi Home Hatutakuwa Na Pressure Ya #CL tofauti Na Mbili Zilizopita (WBA & Stoke) ambazo tulikiwa na Pressure Ya Roma Katikati huku Wakiwa Wanataka Kujinasua Kushuka Daraja.

Lakini Hawa BHA wako Safe hawana Pressure ya Kushuka Daraja wala Kugombania [HASHTAG]#Europa[/HASHTAG]! Kwahiyo Ni Game easy Kabisa.


Nakukumbusha tu Kuwa Una Newcastle away! Ni game Ngumu Hii Kuliko unavyodhania!!!
Sawa Ndugu Mchambuzi
 
Mwakani mtacheza Yuropa na wenzenu Real Socieded ya Spain na Mangleabach ya Germany!
Kwenye mashindano haya ya wanaume mmeisha shindwa!
Week ijayo baada ya kumpiga Roma nakuja nakupiga hapo hapo kwako
Nimekukaza kamoja tu
 
Hii Game Ya BHA tunacheza Anfield Wakati Wewe Muda Huohuo unacheza Away na Newcastle (RAFA BENITEZ).

Hii Mechi Yetu Sisi Home Hatutakuwa Na Pressure Ya #CL tofauti Na Mbili Zilizopita (WBA & Stoke) ambazo tulikiwa na Pressure Ya Roma Katikati huku Wakiwa Wanataka Kujinasua Kushuka Daraja.

Lakini Hawa BHA wako Safe hawana Pressure ya Kushuka Daraja wala Kugombania [HASHTAG]#Europa[/HASHTAG]! Kwahiyo Ni Game easy Kabisa.


Nakukumbusha tu Kuwa Una Newcastle away! Ni game Ngumu Hii Kuliko unavyodhania!!!
Hao unaowazarau juzi wamemkaza man u
 
Hii Game Ya BHA tunacheza Anfield Wakati Wewe Muda Huohuo unacheza Away na Newcastle (RAFA BENITEZ).

Hii Mechi Yetu Sisi Home Hatutakuwa Na Pressure Ya #CL tofauti Na Mbili Zilizopita (WBA & Stoke) ambazo tulikiwa na Pressure Ya Roma Katikati huku Wakiwa Wanataka Kujinasua Kushuka Daraja.

Lakini Hawa BHA wako Safe hawana Pressure ya Kushuka Daraja wala Kugombania [HASHTAG]#Europa[/HASHTAG]! Kwahiyo Ni Game easy Kabisa.


Nakukumbusha tu Kuwa Una Newcastle away! Ni game Ngumu Hii Kuliko unavyodhania!!!
Brighton hawana cha kupoteza, dakika 90 zinaweza kuleta matokeo yasiyotarajiwa kabisa
 
Mara Ya Mwisho Kucheza CL ilikuwa Ni 2015 vuta Kumbukumbu Vizuri! Ni Miaka 2 tu Tokea Mara Ya Mwisho Kucheza Champion League!
Hiyo Miaka 10 iliyopita Ni kwamujibu Ya Hesabu za Brainless Wa Chelshit.

Halafu Washabiki Wa Chelshit Wote Ni Mental Disorder! Yani Man U, Spurs, Chelshit na Man City Wote Hawa Walibakwa Kwenye CL wakatolewa.
Liverpool ambaye Tayari Mguu Mmoja Yupo Finali Baada Ya Kumfunga Bingwa Wa Uengereza aliyekupiga Nje Ndani na Kumpiga Migoli 5 mbabe Wa Barcelona ambaye Ni Bingwa Wa Spain leo Hii umepata Ujasiri Wa Kumwita Msindikizaji???

Sasa Mbona Munaacha Yenu Munakaa Mbele ya Runinga na Kumwangalia Liverpool Msindikazaji Wakati Munazo Timu zenu Za Kuziangalia Ambazo Hazisindikizi Zinafanya Kweli??

Acheni Wivu Huo Ni Liverpool Pekee Ndiye Mwenye Uthubutu Barani Ulaya na Si Chelshit inayoshiriki Miaka 10 mfululizo (from 2001 - 2010) bila ya Kufanya la Maana.
Mashabiki wa Liverfool bhana. Baada ya hiyo 2010 walifanya nini baada ya hapo.? Mnasindikiza nyie hamuendi kuchukua UEFA. *****. Utakataa sa hivi ila Kiev utakubali.

Halafu utaanza kusema ni chuki. Pwaaah
 
Chelsea mwakani mnacheza YUROPA
Najua mna hasira sana!
Klopp hawezi tena kosa UCL spot kupitia EPL,nyie na Totenham,na Man U na Man City na Arsenal mtakuwa mnabadilishana!
Mkuu kwan EUROPA zinashiriki timu za ndondo.? Wewe ulishiriki ukahlgongwa kama mbwa koko. Leo hii unaiponda ligi iliyokutoa mafua kupigania kombe. Acheni ulimbukeni nyie Liverfool fans kwa kuwa mmeingia fainali ya UEFA.

Binafsi sijawahi kuidharau ligi ya EUROPA. Ila ninatamani pia kucheza UEFA.
 
Jumapili ndiyo NAKUPELEKA rasmi Yuropa mwakani ukacheze na Mavi ya Bata FC ya Lithunia,uwanja wa mabati watazamaji 3,000!
Nakupiga hapo hapo kwako sababu Liverpool sasa ndiyo team bora Ulaya,huwezi wazuia!
Nani sasa hayaogopi Majogoo?
Bado mmenuna kwa mafanikio yetu?
Liverfool fan nipe mrejesho. Wajionaje hali.?
 
Mkuu kwan EUROPA zinashiriki timu za ndondo.? Wewe ulishiriki ukahlgongwa kama mbwa koko. Leo hii unaiponda ligi iliyokutoa mafua kupigania kombe. Acheni ulimbukeni nyie Liverfool fans kwa kuwa mmeingia fainali ya UEFA.

Binafsi sijawahi kuidharau ligi ya EUROPA. Ila ninatamani pia kucheza UEFA.
Mpira unadunda huu Loserfools wanaweza kuteleza mkashangaa Chelsea ndio anaenda CL, tofauti kati ya Liverpool na Chelsea ilikuwa 11pts sasa hivi 3pts na Chelsea ana game mkononi!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom