Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea mwakani mnacheza YUROPA
Najua mna hasira sana!
Klopp hawezi tena kosa UCL spot kupitia EPL,nyie na Totenham,na Man U na Man City na Arsenal mtakuwa mnabadilishana!
sawa tu tukicheza Europa, ili mradi tutapata mechi za kimataifa it's all good. hiyo itatupa nafasi ya kupambana na kuchukua EPL na makombe mengine mengi
 
Siwapendi Chelsea na Liverpool, ila natamani Chelsea ashinde aingie top 4, then Liverpool ashinde UEFA, then msimu ujao tena EPL iingize timu 5 UEFA champions league.
 
Jumapili ndiyo NAKUPELEKA rasmi Yuropa mwakani ukacheze na Mavi ya Bata FC ya Lithunia,uwanja wa mabati watazamaji 3,000!
Nakupiga hapo hapo kwako sababu Liverpool sasa ndiyo team bora Ulaya,huwezi wazuia!
Nani sasa hayaogopi Majogoo?
Bado mmenuna kwa mafanikio yetu?
Ukivipiga vibonde basi unafikiri na chelsea ni kibonde
Umesahau pale anfild match iliishaje
 
enough! conte out! mechi ngumu kama ya leo bakayoko wa nini tena! damn!
 
hii mechi ina high intensity... sasa bakayoko na zile boko zake ndiyo nawaza hapa mkuu...
Hapa nlivyomuelewa Conte ni kwamba anaelewa vizuri jinsi Liverpool walivyo na deadly attacking style. Kama hauna mtu mzuri wa kuwazuia speed katikati watatuumiza mapema sana. Na kati na midfield tulionao, Bakayoko tu ndo anaquality nzuri defensively ukimuacha Kante ambaye yeye anajulikana. Only Bakayoko siyo mzuri offensively. So kama unataka mtu mwenye mwili katikati ambaye atafanya tackles na interceptions basi basi Bakayoko ni mtu sahihi
 
Wakuu wapigeni hawa Loserfools! Ila mkifungwa nawageula sipendi unafiko....!
 
Leo sisemi kitu, nawaacha majogoo waendelee kufanya uchambuzi yakinifu kwenye thread yao
 
Chelsea plastic fans be like this:
Kabla ya mechi: Bakayoko wameweka wa nini?
Baada ya mechi: Bakayoko Man of the match
 
Leo sisemi kitu, nawaacha majogoo waendelee kufanya uchambuzi yakinifu kwenye thread yao
tumeshinda...lakin naona kuingia top 4...ni ngumu...yatatua magoli...msim huu tuna magoli machache sana...hatuna goal difference nzuri
 
Washaanza kufarakana
Screenshot_20180506-203211.jpg
Screenshot_20180506-203331.jpg
 
Jumapili ndiyo NAKUPELEKA rasmi Yuropa mwakani ukacheze na Mavi ya Bata FC ya Lithunia,uwanja wa mabati watazamaji 3,000!
Nakupiga hapo hapo kwako sababu Liverpool sasa ndiyo team bora Ulaya,huwezi wazuia!
Nani sasa hayaogopi Majogoo?
Bado mmenuna kwa mafanikio yetu?

Nyie ni akina nani mtupeleke mnapotaka?
 
tumeshinda...lakin naona kuingia top 4...ni ngumu...yatatua magoli...msim huu tuna magoli machache sana...hatuna goal difference nzuri
Tunamtegemea Brighton. Kama akiweza kudroo na Liverpool nasi tukashinda mechi mbili zilizobaki basi tunakuwa top four
 
Chelsea plastic fans be like this:
Kabla ya mechi: Bakayoko wameweka wa nini?
Baada ya mechi: Bakayoko Man of the match
Seriously, huyu huyu Bakanyoko ndo unataka kumsifia kwa mechi ya leo, call me plastic fan ila with or without Bakanyoko leo tungepata matokeo haya haya au yanayokaribiana na haya, Bakanyoko hajawahi kuwa" X factor" katika mechi yoyote tuliocheza msimu huu, lets talk about Ngolo,huyu jamaa ana mapafu ya mbweha hachokiiii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom