Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Msimu huu tumepitia magumu. Naamini timu yangu kipenzi Chelsea msimu hujao itarejea kwenye form#chlesea4real#
 
Alvaro Morata have 21 goals+assists with 5 matsches left to play in his disappointing season...

Costa had 26 goals+assists in his amazing season at Chelsea...

[HASHTAG]#CFC[/HASHTAG]
 
*Eden Hazard with some love for Olivier Giroud: “I didn’t teach him how to dribble, no. He has qualities. We all know that. Last year we sadly lost the final. But now we have Olivier Giroud. He often wins FA Cup finals.” #cfc*
 
Huyu refa siyo, lkn watapigwa tu hakuna namna


Mechi vs Manure usimuogope Michael Oliver! Ogopa Wanazi Hawa:

1) Craig Pawson
2) Mike Deen
3) Anthony Taylor
4) Lee mason
5) Martin Atkinson



Hao Wanazi lazima Wakulazishe in favour for Manure
 
Mwakani mtacheza Yuropa na wenzenu Real Socieded ya Spain na Mangleabach ya Germany!
Kwenye mashindano haya ya wanaume mmeisha shindwa!
Week ijayo baada ya kumpiga Roma nakuja nakupiga hapo hapo kwako
 
Mwakani mtacheza Yuropa na wenzenu Real Socieded ya Spain na Mangleabach ya Germany!
Kwenye mashindano haya ya wanaume mmeisha shindwa!
Week ijayo baada ya kumpiga Roma nakuja nakupiga hapo hapo kwako
Wewe hayo mashindano ulijitahidi ukafokolewa na wa spain. Arsensl na Atletico wanapigania hayohayo, eti leo anajitokeza mtu anayadharau.

Kwani kule timu zinazoshiriki ni za wapi.? Acheni ushabiki maandazi
 
Naona wenzako akina Ntuzu wamekuacha pekee yako unapambana ehehehe!
Mwakani mkochukua Yuropa watajazana hapa kuwapongeza ‘wapambanaji’
Mbuzi akijua tu kun'gata uzi wa gitaa, basi atajiita mbabe wa gitaa, Liverpool ndio maana walistahili hata kushuka daraka kwa miaka hiyo 20 bila kombe. Nguvu zenu za soda zina mwisho wake, akiondoka MO tu kwishinei
 
Mbuzi akijua tu kun'gata uzi wa gitaa, basi atajiita mbabe wa gitaa, Liverpool ndio maana walistahili hata kushuka daraka kwa miaka hiyo 20 bila kombe. Nguvu zenu za soda zina mwisho wake, akiondoka MO tu kwishinei

2005 tumechukua UCL
2007 tumecheza final UCL
Alikuwepo MO?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom