View attachment 745472
Mkuu Kuna Hili Slogan Nimelihivazi Zaidi Ya Miaka 3 iliyopita Ambalo Lilikuwa Likielezea Utamaduni Wa Man United Hususan Katika Zama Za Kocha Wa Makocha Sir AF.
Bango Hili Lilioneshwa na Washabiki Wa Man United Katika Moja Ya Mechi zake na Man City.
Hivi Unataka Kunambia Mashabiki Wa Man United Wanameza Maneno Yao Yaliyomo Katika Hilo Slogan Na Wachezaji Hawana Tena ishu Ya Kujitengenezea Historia Ya Timu na Badala Yake imewaiga Man City Kwa Kujitengenezea Hela Kwa Mishahara Minono?
Nakuomba usijadili Hisia Zangu (As Liver Fan) Bali Concentrate Kwenye nilichokiandika.