Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mbona kama Conte anabahatisha katika maamuzi yake. Anamtoa Hazard halafu anakuja kumuingiza tena Fabregas. Wale ngedere wamepaki basi badala ya kujaza viungo sijui akawa analengo gani.

Morata kaprove failure muda hakukua na haja ya kumuacha uwanjani Mpka dkk ya 90.

Once a blue always a blue. Tumepoteza pamoja
 
4994F8A400000578-0-image-a-123_1519572527279.jpg
 
"LUKAKU HUWAGA ANAFUNGAGA VITIMU VIDOGO VIDOGO" By Unknown JF Member (Shabiki wa chelsea kipindi Lukaku amesajiliwa)
 
Poleni waungwana, ni mpira tuu unadunda. Leo umedundia kwenu.
 
poleni chelsea,,,, hii ilikuwa more tactical, conte kashindwa kuchanga karata.....
 
Conte ndo kauza tim unatoa
Hazard na game hujashinda
unategemea nn
 
Mbona kama Conte anabahatisha katika maamuzi yake. Anamtoa Hazard halafu anakuja kumuingiza tena Fabregas. Wale ngedere wamepaki basi badala ya kujaza viungo sijui akawa analengo gani.

Morata kaprove failure muda hakukua na haja ya kumuacha uwanjani Mpka dkk ya 90.

Once a blue always a blue. Tumepoteza pamoja
Yote hayo Kocha mkuu..pumbav zake Conte. Ana mbeba huyu Morata
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom