Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Unajua kuwa Chelsea ametumia pesa nyingi kusajiri wachezaji msimu huu kuliko Liverpool? Sema bodi imesema haitanunua mchezaji gharama kubwa kuliko thamani yake. Kumbuka Chelsea ni biashara ya mtu, so mwisho wa siku watanunua wachezaji wa kawaida ili kocha awadevelop.


Mchezaji Wa Kawaida Unaenunua Ukamdevelop Ni Yule aliye na Umri Chini Ya Miaka 22- years.
Lakini Kwa Barkley, Drinkwater na Giroud mkuu hapa Munakwenda Kuwadevelop Kitu Gani???

Hii si Sera Ya Kudevelop Vipaji Bali Ni Sera Ya Kununua kwaajili ya Kutumia.

My Take: Kumzidi Liverpool Katika Usajili haimaanishi Kuwa Ndiyo Unaendana na Soko la Sasahivi.
 
Kama hata fukuzwa.Mimi nahamia arsenal.
eb6a992ce9e6836331682a4dad549853.jpg


Mkuu tuachie Chelsea yetu. Sisi tunaishangilia na kuipenda Chelsea. Mvua inyeshe jua liwake ni Chelsea. Blue is a colour.
 
Mchezaji Wa Kawaida Unaenunua Ukamdevelop Ni Yule aliye na Umri Chini Ya Miaka 22- years.
Lakini Kwa Barkley, Drinkwater na Giroud mkuu hapa Munakwenda Kuwadevelop Kitu Gani???

Hii si Sera Ya Kudevelop Vipaji Bali Ni Sera Ya Kununua kwaajili ya Kutumia.

My Take: Kumzidi Liverpool Katika Usajili haimaanishi Kuwa Ndiyo Unaendana na Soko la Sasahivi.
Azipilicute kanunuliwa kwa 7 million pound. Leo unafikiri anaweza kuuzwa kwa kiasi gani?
Alonso naye alinunuliwa kwa 7 million pound unafikiri leo yupo katika thamani ipi?

Barkley na Drinkwater bado ni wachezaji wachanga. Ndani ya misimu miwili wanaweza kuisaidia timu lakini pia wakaitengenea timu faida
 
  • Thanks
Reactions: SIM
BREAKING NEWS: Hatimaye Kocha wa Chelsea, Antonio Conte ambaye timu yake imekuwa ikifanya vibaya katika mechi za hivi karibuni, akichapwa mabao 3-0 na Bournemouth na kisha 4-1 na Watford, amewasili mazoezini leo asubuhi kwa ajili ya kukinoa kikosi chake......macho yamekutoka! ulitaka afukuzwe? mzazi yule, akipoteza kazi watoto wake watakula nini? fanya mambo yako!
 
Azipilicute kanunuliwa kwa 7 million pound. Leo unafikiri anaweza kuuzwa kwa kiasi gani?
Alonso naye alinunuliwa kwa 7 million pound unafikiri leo yupo katika thamani ipi?

Barkley na Drinkwater bado ni wachezaji wachanga. Ndani ya misimu miwili wanaweza kuisaidia timu lakini pia wakaitengenea timu faida
Drinkwater ana miaka 27 Amenunuliwa kwa zaidi ya £ 30 m Mchezaji wa kama ananunuliwa kwa ajili ya kuimprove Team siyo kutengenezwa.
 
Hivi Ndani Ya Chelsea Bado Kuna Fans ambao Hawajui Kuwa Chelsea ana Project Kubwa Zaidi Ya Ujenzi Wa Uwanja Mpya?
Je wanajua Budget ya Hiyo Project?

Hapo Ndiyo Panapoanzia tatizo! Kiukweli Kutokana na ujenzi Wa Uwanja Mpya Tusitegemee Chelsea Kuingia Sokoni Na Kununua Mchezaji Wa £90m+ Hata siku moja.

Ndugu mchambuzi unajua funding za project nzima zikoje? au hata dating za project ? Au una assume kuwa tokea aje mrusi Chelsea inaendeshwa kwa pesa za mfukoni kwake mpaka leo? Ndugu mchambuzi Project inayotegemewa kuisha msimu wa 2024 kwa maana kuwa Chelsea hatosajili kwa hela kubwa mpaka mwaka huo? kabla ya Morata last time Chelsea kusajili mchezaji wa hela nyingi ilikuwa january 2011 na alikuwa Torres tokea kwenu kwani kulikuwa na project gani ambayo ilituzuia tusisajili tokea hapo? na since then tumeshashinda all major trophies kama club bila kutumia hizo 90m+ . Ndugu mchambuzi ikibidi kutumia hela kubwa kusajili Chelsea itatoa tu regardless project zinazoendelea kwa hiyo sioni Tatizo hapo.

Kule kwenu kuna project gani mbona mnauza ma staa wenu kila siku ya ku replace na average players ?
 
Drinkwater ana miaka 27 Amenunuliwa kwa zaidi ya £ 30 m Mchezaji wa kama ananunuliwa kwa ajili ya kuimprove Team siyo kutengenezwa.
Kazi ya kocha siyo tu kusimamia mazoezi na kupanga first eleven. Even a prayer with 30 yes can be improved
 
Ndugu mchambuzi unajua funding za project nzima zikoje? au hata dating za project ? Au una assume kuwa tokea aje mrusi Chelsea inaendeshwa kwa pesa za mfukoni kwake mpaka leo? Ndugu mchambuzi Project inayotegemewa kuisha msimu wa 2024 kwa maana kuwa Chelsea hatosajili kwa hela kubwa mpaka mwaka huo? kabla ya Morata last time Chelsea kusajili mchezaji wa hela nyingi ilikuwa january 2011 na alikuwa Torres tokea kwenu kwani kulikuwa na project gani ambayo ilituzuia tusisajili tokea hapo? na since then tumeshashinda all major trophies kama club bila kutumia hizo 90m+ . Ndugu mchambuzi ikibidi kutumia hela kubwa kusajili Chelsea itatoa tu regardless project zinazoendelea kwa hiyo sioni Tatizo hapo.

Kule kwenu kuna project gani mbona mnauza ma staa wenu kila siku ya ku replace na average players ?
Timu yao ni academy ya Barca
 
Ndugu mchambuzi unajua funding za project nzima zikoje? au hata dating za project ? Au una assume kuwa tokea aje mrusi Chelsea inaendeshwa kwa pesa za mfukoni kwake mpaka leo? Ndugu mchambuzi Project inayotegemewa kuisha msimu wa 2024 kwa maana kuwa Chelsea hatosajili kwa hela kubwa mpaka mwaka huo? kabla ya Morata last time Chelsea kusajili mchezaji wa hela nyingi ilikuwa january 2011 na alikuwa Torres tokea kwenu kwani kulikuwa na project gani ambayo ilituzuia tusisajili tokea hapo? na since then tumeshashinda all major trophies kama club bila kutumia hizo 90m+ . Ndugu mchambuzi ikibidi kutumia hela kubwa kusajili Chelsea itatoa tu regardless project zinazoendelea kwa hiyo sioni Tatizo hapo.

Kule kwenu kuna project gani mbona mnauza ma staa wenu kila siku ya ku replace na average players ?


Kwanza Kabisa Nakujibu Kijiswali Hichi Chako Kidogo:
Kuhusu Liverpool Kuuza Wachezaji Wake Nyota ni Kwamba Kama Utapitia Kwenye Uzi wetu Utagundua Wazi Kuwa Tunaandika Makala Nyingi za Uchambuzi Zinazoonesha Kuwa Wamiliki wetu ([HASHTAG]#FSG[/HASHTAG]) si Watu Wa Mpira wala Hawana Habari ya Ubingwa Wa Aina yoyote!
Wao Ni wafanya Biashara na Wanachoangalia Wao ni Mapato tu!
Sera yao ni Kuwa "PASITUMIWE KABLA YA KUINGIZA".
Kwahiyo Hawawezi Kuuza Mchezaji Kwa Pound 100m ikisha Wakanunua mwengine kwa 120m.
Wakiuza kwa 100m basi Watanunu Kwa 30m ili 70m iwe ni faida kwao.

• Kuhusu Project ya Uwanja ya Chelsea basi usishangae kuwa ilikuwa Katika Board Plan tokea au Kabla ya Huo Mwaka 2011 na ndiyomana Baada ya Hapo hapakununuliwa tena kama ulivyosema (ingawa sina uhakika).

• Na Kuhusu Chelsea Kushinda Mataji Ukweli Ni Kwamba bado Mulikuwa Munatumia Kizazi Kilichokwisha Tengenezwa Tokea Miaka Ya Nyuma!
Mfano Kikosi Kilichopita Conte Mchezaji Wake alikuwa ni Kante tu (Kuhusu Alonso sina uhakika kama alimsajili yeye).
Sasa Subiri tuone hichi Kizazi chake cha kina BAKAYOKO, DRINK WATER, BARKLEY, ZAPPACOSTA na wengine wengi atakaoundia Timu
uone kitakachomtokea ni Nini!
Ni sawa na Benitez alishinda UCL na Liverpool akiwa na Kikosi Kilichokwisha tengenezwa na yeye akatumia tu Kina Gerrard, Smicer, Traore, Carra, Hypia, Finnan, Barros, Riise, Hamman n.k.
Lakini alipokuja kuunda Kikosi Chake cha Kina David Ngog na Dosena uliona kilichomfika.
 
Kazi ya kocha siyo tu kusimamia mazoezi na kupanga first eleven. Even a prayer with 30 yes can be improved
Hahahaha ndio maana mnaitwa WOWOWO FC mchezaji aliyesajili kwa £ 30 m ana miaka 27 unaanzaje kumtengeneza wewe Mchezaji wa £ 30 niwa kuimprove Team Endelea kusubiri Conte amtengeneze Giroud mwenye miaka 31 aje kuwa Lewandowaki
 
Timu yao ni academy ya Barca


Umekosea! Sio Barca tu!

Hata Real Madrid amechukua:
1) Steve MacCmanaman
2) Michael Owen
3) Jersey Dudek
4) Xabi Alonso
5) Arbeloa

Barca kachukuwa:
1) Luis Suarez
2) Javier Mascherano
3) Phillipe Coutinho

Chelsea mumechukuwa:
1) Fernando Torres
2) Yesi Benayoun
3) Raul Maireles

Sasa Hapo Ni Wazi Kuwa Liverpool ni Academy ya:
1) Real Madrid
3) Chelsea
3) Barcelona

Jifunze Kutunza Kumbu Kumbu kwanza.
 
Hahahaha ndio maana mnaitwa WOWOWO FC mchezaji aliyesajili kwa £ 30 m ana miaka 27 unaanzaje kumtengeneza wewe Mchezaji wa £ 30 niwa kuimprove Team Endelea kusubiri Conte amtengeneze Giroud mwenye miaka 31 aje kuwa Lewandowaki
Kuimprove kuna maana ya kuexploit potentials. Haimaanishi kuwa Giroud asipomfikia Lewandosic basi hajaimprove
 
Azipilicute kanunuliwa kwa 7 million pound. Leo unafikiri anaweza kuuzwa kwa kiasi gani?
Alonso naye alinunuliwa kwa 7 million pound unafikiri leo yupo katika thamani ipi?

Barkley na Drinkwater bado ni wachezaji wachanga. Ndani ya misimu miwili wanaweza kuisaidia timu lakini pia wakaitengenea timu faida
Drinkwater????????huyu bado mchanga!!!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom