Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Siku tatu za mapumziko.

Antonio Conte ameongeza siku mbili zaidi za mapumziko kwa wachezaji wake na kuhitimisha kuwa tatu baada ya kichapo cha 4-1 dhidi ya Watford katika dimba la Vicarage Road jana Usiku.

Watford walifunga magoli matatu katika dakika sita za mwisho za mtanange huo na kuwafanya Chelsea kupoteza mechi mbili mfululizo .

Mechi ijayo ya Chelsea ni katika dimba la Stamford Bridge dhidi ya West Brom siku ya Jumatatu usiku .

mzigo mkubwa wa mechi katika wiki kadhaa zilizopita zimepelekea kupatikana kwa majeruhi wengi katika kikosi ambacho Conte hapo awali aliwahi kuelezea kwamba ni kikosi kidogo na hiyo kuaminika kwamba moja ya sababu ya klabu hiyo kupata matokeo mabaya mwezi Januari na Februari.

Ross Barkley anakuwa mchezaji wa nane kuumia misuli ya nyuma ya paja msimu huu ndani ya kikosi cha Cheslea kabla ya mechi dhidi ya Watford ambapo David Luiz na Willian walirejeshwa haraka kikosini baada ya kutoka kwenye majeraha, hata hivyo Wabrazil hao walionekana hawapo kwenye kiwango kizuri.

Pedro naye anaonekana kwamba amejiunga katika orodha hiyo baada ya jana kutolewa nje akiwa ameumia akiunga na wakina Andreas Christensen, Alvaro Morata na Barkley katika chumba cha matibabu . Marcos Alonso aliachwa kikosini kwa sababu za tahadhari dhidi ya Watford lakini atarejea kikosini dhidi ya West Brom.

Lakini akiongea baada ya mechi Conte amekanusha kwamba maisha yake ndani ya Daraja yataamuliwa na wachezaji wake , ambapo mmiliki wa Chelsea Roman Abramovich ameripotiwa kutua Jijini London kuangalia maendeleo ya klabu yake.

" Ni ngumu kwangu mimi kuhamisha fikra zangu. Ni matumaini yangu kwamba usiku huu mtanielewa, sina wasiwasi kuhusu kazi yangu . Nafanya kazi kila siku na najitoa kwa asilimia 100. Sina wasiwasi."

" Kila siku na kila mahojiano na waandishi wa habari naulizwa, lakini hapana. Kesho ni siku nyingine. Nafsi yangu ipo vizuri na naenda kulala vizuri. Najaribu kufanya kila kitu. Kama tatizo langu litakuwa la klabu basi sawa. Maisha yanaenda."

" Unadhani klabu itaamua kumfukuza kocha kama hakuna uungwaji wa mkono kutoka kwa wachezaji ? Nafikiri ni hapa tu , ni hapa tu ndio mnafikiria hivi. Mnafikiri kwamba wachezaji wana hii nguvu ? ndio ?. Hii sio sahihi.Sio sahihi kabisa. Kama ikitokea sawa."

" Lakini narudia katika maisha yangu nilivyokuwa mchezaji , nilikuwa nahodha wa Juventus, na sikuwahi kuthubutu hata siku moja kuongea kuhusu kocha na klabu yangu. Kama klabu ingejaribu kuniuliza, hilo sio tatizo langu."

" Jukumu langu ni kufanya kazi na hawa wachezaji na kuwa na wachezaji wakweli na wanafanya kazi kwa kujituma. tatizo ni kwamba nyie waandishi wa habari mnajaribu kutengeneza tatizo . nafanya kazi yangu. Na sina sababu ya kutolala vizuri."

" Matatizo - inabidi uyatafutie ufumbuzi kwa kufanya kazi. Hushindi kwa visingizio. katika maisha yangu napenda kuwa mshindi - na mimi ni mshindi."

Swea

*Sports Platform*
 
Suala ni usajili point yangu ipo hivyo japo baadhi ya watu humu walinikatalia hata aje huyo kocha hamna jipya si alikuwa Roma huyo kabla ya kwenda barca kapita na celta vigo kule barca mbele palikuwa MSN mtamfukuza tu conte lakin tatizo bado halitakwisha hajasajili wachezaj wenye ubora na alilalamika sana usajili unaofanywa
Waache wabaki kudhani kwamba akija kocha mwingine Morata ataanza kucheza kama Suarez au Bakayoko atakuwa kama Modric
 
2DAABA6B-DA33-48C8-A5D6-466F39AF2C1E.jpeg
 
Bodi ya Chelsea ni wapumbavu. Alilalamika kuhusu kuwa na kikosi kichache na kuhitaji wachezaji wa kiwango cha juu, lakini kazi kuleta mizigo kutoka Arsenal tu.
Bakayoko alikuwa anacheza namba ngapi pale arsenal????
 
Deeney explains middle fingers

4 hours ago Mirror

Pretty stupid anyway
Deeney: "Obviously we have had a lot of transfer talk and transfer speculation. I've kept quiet because I realise talking gets me in trouble. That was a case of letting everyone know I saw everything and I am still here."

Deeney made the gesture when he scored Watford's opener from the penalty spot in their 4-1 demolition of ten-man Chelsea.

He now could be suspended for an unbelievable 11th game this season.
 
Players given three days-off

4 hours ago Evening Standard

Will they be working under the same coach upon return?
Antonio Conte decided to give his Chelsea players an extra two days off this morning in the wake of their humiliating 4-1 defeat to Watford on Monday night.

Conte, whose position as manager is under increasing threat, has responded by giving his players a rare opportunity to rest.

Their next game is against West Brom at Stamford Bridge on Monday night and the Italian believes fatigue is playing a major part in the team's drop in standards.

Conte had originally pencilled in for Tuesday to be their only break before resuming training on Wednesday.
 
Gary Cahill backs Antonio Conte: 'Players have to take responsibility'

3 hours ago BBC

Cahill: "This is the worst I've felt for quite a while. Performance-wise, I didn't recognise us or myself. It was abysmal. We just need to keep strong. I've been here before at this club - it's about staying calm. It hurts a lot when you come off after a performance like that.

"Whatever is decided, the players have to take responsibility. The manager has done an absolutely unbelievable job."
 
Wachezaji wa Chelsea wana tatizo la kugomea makocha wao, na kuvurunda
 
Hii wiki haitaisha na nafikiri habari za kesho asubuhi, "Conte Sacked"
Conte kafanya makusudi ili apate kibunda cha kufukuzwa. Naona kuna makosha wanafana a different business hapa ya kujipatia pesa za bingo bila kufanyia kazi
 
Tangu Conte aanze mabishano na Jose mambo hayakumuendea vizuri sijui kwa nini?
Katika michezo 10
Tumeshinda: 2
Sare: 5
Tumefungwa: 3
Tumetolewa League Cup
Nafasi ya nne kwenye ligi

Huko Mbeleni
Tutatolewa FA
Tutatolewa UEFA na Barcelona
Tutamaliza ya 7 kwenye ligi

Conte ni lazima atoke ili Chelsea iundwe upya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom