Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mna wiki moja kukaa na kujitathimini kabla hamjakutana na wababe wa la liga
 
2797739774e0fb61743585da67b34385.jpg
 
Hapa coach hatakiwi mkuu ndio maana wanafungwa na hizi team ndogo
Karibu Darajani Luis Enrique
Suala ni usajili point yangu ipo hivyo japo baadhi ya watu humu walinikatalia hata aje huyo kocha hamna jipya si alikuwa Roma huyo kabla ya kwenda barca kapita na celta vigo kule barca mbele palikuwa MSN mtamfukuza tu conte lakin tatizo bado halitakwisha hajasajili wachezaj wenye ubora na alilalamika sana usajili unaofanywa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom