The _Analyst
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 466
- 564
NotedExactly, and it's better you take care of your stuff
NotedExactly, and it's better you take care of your stuff
Madrid league alibamizwa na leganes first leg bado second legHaina uhusiano hiyo.
Kila mechi inajitegemea mkuu.
La sivyo leo Real Madrid asingefungwa na Leganes.
Timu haipati matokeo tunayoyatarajia KBS, draw 6, win 1 na loss 1, nini SASA! Halafu anafaa KWA Chelsea ambayo ni timu kubwa ulaya, tulishachukua kombe la klabu bingwa ulaya 2012 na tuliwahi kuchukua UEFA NDOGO 1997, Zola supersub akiwaua STUGATT ya German dk ya 75. Asena ni timu ndogo MNO kututesa sisi wazee.
Juda won it back to back,Conte won trophy with foundation made by JudaUmri siyo unaomfanya mtu ajielewe. Nimeshangaa kuona unamlaumu kocha ila unaonyesha matatizo ni ya wachezaji.
Mashabiki wa Chelsea tuwe na shukrani sana kwa Conte. Msimu wa kwanza Conte katupa ubingwa na tunajua Chelsea ikipata ubingwa msimu unaofuata huwa ni kupoteana lakini mpaka sasa tupo big four.
Pili Conte ana wachezaji wa kawaida sana tofauti na forward za Wapinzani wetu. Forward yetu huwezi kuilinganisha na Firminho, Mo Sarah, na Mane; au Jesus, Aguero na Sane; au Kane, Dele Ali na Eriksen na hata bado Arsenal atakuwa bora zaidi akiwa na Ozil, Mikhtarian, Lacazete na Wilshare.
Tuweni na shukrani jamani. Hiki tunachokiona ni kwa sababu wachezaji wanajitoa zaidi ya 100% na mbinu za kocha, vinginevyo tungekuwa nafasi ya 7 au sita nyuma ya Arsenal na Liverpool
Ww unajielewa kweli????Juda won it back to back,Conte won trophy with foundation made by Juda
Sigara kaliWakuu jiandaeni kuchomekewa vitu vyenye ncha kali huko nyuma na Messiah
Waulize swans cty hukuonekn tok juz ndio unajitokeza ulivyokali dudu la mwanaume ulikuwa bdo unaosha janaba?Wakuu Humu Ndani Sijui Kwema?
Www jamaaaa mbuzArsenal Ni Timu Ndogo mbele Ya Chelsea iliyoanzishwa 2005??
Ama kweli hii Ni Tanzania ya V-wonder !!!!!
Juda won it back to back,Conte won trophy with foundation made by Juda
Judah? OK but remember the quality of players who won it back to back. Were we having the likes of Drinkwater, Bakayoko, Pedro, Alonso and Moses?Magoli yote alikua mzembe rudigerAngalia goli la pili tulilofungwa.alafu njoo tujadili.simkubali bakayoko hata kidogo.na conte safari inamuita.anatuharibia tu timu
Wewe mbona unaakili za kuramba makamasi.Waulize swans cty hukuonekn tok juz ndio unajitokeza ulivyokali dudu la mwanaume ulikuwa bdo unaosha janaba?