Tatizo wabongo wengi wanakua na matokeo yao,,Nimekata tamaa kabisa na huyu conte, yaani sisi wakufungwa kiteja na arsenal namna hii, inauma sana !!
Sent from my HTC Desire 828 using JamiiForums mobile app
Tatizo wabongo wengi wanakua na matokeo yao,,Nimekata tamaa kabisa na huyu conte, yaani sisi wakufungwa kiteja na arsenal namna hii, inauma sana !!
Sent from my HTC Desire 828 using JamiiForums mobile app
Atatangulia Mou
AhahahaahahNimekata tamaa kabisa na huyu conte, yaani sisi wakufungwa kiteja na arsenal namna hii, inauma sana !!
Sent from my HTC Desire 828 using JamiiForums mobile app
Huwezi kuwa ngika halafu muda huo ni ngalu.NDIYO kila siku wanakamatwa kutukana mitandaoni, ni ukosefu wa maadili KBS uliolikumba taifa letu hasa kwa vijana. Jamii forum tumeingiliwa na tabia hizi za ovyo na zisizo na staha KBS.
Angalia goli la pili tulilofungwa.alafu njoo tujadili.simkubali bakayoko hata kidogo.na conte safari inamuita.anatuharibia tu timuKatika hii michezo mitatu namuona Bakayoko akiwajibu haters kwa vitendo. He had an outstanding performance yesterday. Hakuna mtu kafanya kazi nzuri jana kama Bakayoko ukimuondoa Hazard
Umri siyo unaomfanya mtu ajielewe. Nimeshangaa kuona unamlaumu kocha ila unaonyesha matatizo ni ya wachezaji.Mimi ni MTU mzima huwezi kuniambia sijielewi! Shida humu kuna baadhi ya vijana waliozaliwa miaka ya late 80s au early 90s, hawana maadili KBS, nafikiri hawakupata malezi utotoni yoyote ya maana.
Nani leo yupo katika kiwango cha Drogba pale mbele? Je common sense inakwambia kosa ni la nani?Inasikitisha. Maana hawa walikuwa wateja wenu, Drogba alikuwa kila mechi anatupia. Kwakweli Conte hana mbinu ya kumfunga Arsenal
Your post is more immotional and less logicalConte hana mbinu, na lazima aondoke, haiwezekani timu ndogo kama arsenal itusumbue hvi wakati tunatetea taji, sasa Barcelona si watatuu kabisa
Anayeshinda makombe si kocha! Ni timu. Kama wachezaji wako wapo katika kiwango cha kawaida basi na matokeo yatakuwa kama hayo. Lakini angalia mpira unaochezwa pale Chelsea... ni nani asiyejua kuwa Chelsea inamiliki mpira? Ni nani asiyejua kama Chelsea inatengeneza nafasi za magoli? We should accept that Conte is the best. Akipewa type ya Makelele, Ashel Cole, Lampard, Essien na Drogba wa 2007 sijui kama kuna timu duniani itamfunga Conte.Unadraw mechi 8 halafu, unadraw mechi 6 mfululizo, unashinda moja then unafungwa, unasema una kocha WA kushinda makombe kama Europe champions league!!!! Tutapigwa nyingi TU na Barcelona. Bodi INA matatizo, tumeacha wachezaji wazuri akina Alex Sandro, koulibaly mabeki wazuri tu Italy, tunamwacha Costa tunachukua kituko, tunashindwa kuvunja benki tuchukua kiungo WA KAZI Arturo Vidal tunamchukua Ross!!!!!!!
Tunatofautiana Analytical skills mkuu.Angalia goli la pili tulilofungwa.alafu njoo tujadili.simkubali bakayoko hata kidogo.na conte safari inamuita.anatuharibia tu timu
And your comment is nonsense to meYour post is more immotional and less logical
Aondoke tu.conte na bakayoko wake.Tunatofautiana Analytical skills mkuu.
Because we differ analyticallyAnd your comment is nonsense to me
Exactly, and it's better you take care of your stuffBecause we differ analytically