Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Jose alichukua EPL back to back ni yeye na SAF tu ndio wameweza weka hiyo record.Majority ya Chelsea legend waliletwa na Jose (Drogba,Cole,Carvalho,Makelele,Essien,Cech akina Lampard,JT walikuwa WC baada ya kucheza chini ya Jose

Conte angekuwa na ushawishi asingewakosa wachezaji ambao anawataka na kuishia kuwasajili kina Barkley,Batshuayi,Zapacosta
Mourinho alikuwa manager lakini Conte ni coach. Nadhan unajua tofauti ya coach na manager?!
 
Makocha huwa wanatoa list ya wachezaji wanaowahitaji pia kocha ana influence kubwa kuwashawishi wachezaji na kuishawishi hiyo board inunue wachezaji inaowataka
Analetewa wachezaj asiowataka. Lakn tushukuru bado tupo top 4. Maana kuna msimu tulishuka mpaka wa 10 Mourinho nadhan ndo alikuwa manager
 
Makocha huwa wanatoa list ya wachezaji wanaowahitaji pia kocha ana influence kubwa kuwashawishi wachezaji na kuishawishi hiyo board inunue wachezaji inaowataka
Soma text zang za juu uone jinsi alivyo request wachezaj lakn alioletewa ni tofaut
 
Kuna makocha wanapenda kuwa na kundi kubwa la wachezaji mwisho wa siku kuwatumia hawawezi CONTE ni miongoni wa makocha hao.
Duuuh unachekesha kwel. Hebu ujicheke mwenyewe. Wachezaj anaoletewa c aliowataka. Hebu nitajie world class player aliyesainiwa kipind cha conte?? Weng ni average players. Ila conte tumsifu now Alonso moses zappacosta ni wachezaj ambao wana effect. Yote ni mipango ya coach. Moses wa Mourinho c wa sasa
 
1.Kaja kuiunganisha timu sasa analialia nini?

2.Haya yanayomtokea Conte sio mapya hapo Chelsea yamewatokea makocha wote,Kwa nini Conte hana hayo maamuzi ya kununua wachezaji ?

3.Conte hana nguvu ya kushawishi wachezaji kulinganisha na Mourinho
Hujui chochote unabwabwaja tyu. Board ndo tatizo
 
Mourinho alikuwa ana husika kwenye usajili na analetewa wachezaj anaowapenda. Lakn Conte hausiki. Anapeleka maombi board ndo inashughulikia. Ndo analetewa wachezaj asiowataka ili afukuzwe
 
Conte not thinking about short-termism at Stamford Bridge

6 hours ago Independent

The boss is aware of how fast you get sacked here, but it's not his concern
Conte: ''People who know me very well know that I don’t stop. I try every day, through hard work, to overcome difficulties. It’s not for all. I’m a specialist in this kind of situation.

''So, when I don’t sleep I continue to work with a computer, all night. I don’t want to create a problem for my wife, so I go in another room and I start to work, watch a game or find a new solution. To watch a game many times is important so you can understand the positives and negatives and improve your team, especially when you lose. It’s very important to find the reason you lost.''

''I can tell you that I continue to work very hard for this club, for the players, for our fans. I saw a bit of the history of this club in the past and it was the same also for the other coaches. I don’t see difference between me and the other coaches that managed this situation.

''My only worry is to work, to work very hard. For sure if you look at the stats you can see in 14 years that 10 managers were sacked in this club. But at the same time when you are sure about your work, when you are sure you are doing everything to improve this club, then I‘m very, very relaxed, very calm. I don’t have these type of worries.''
 
Leeds legend Johnny Giles slams Chelsea board over Conte treatment

10 hours ago Irish Independent

Disgusting, concludes Giles
Giles: "That's a huge statement of intent United have just made by signing Alexis Sanchez and a poke in the eye for every one of their rivals. Even the noisy neighbours across town must be miffed.

"City will regret this decision but if Pep Guardiola is feeling unsettled by Jose Mourinho's capture of a player who I believe is good enough to lift United to a new level, imagine how the current Premier League champion Antonio Conte is feeling.

"The way Conte has been treated at Stamford Bridge is nothing short of disgraceful and there seems no end to it. Mourinho raided his squad for one of his best men in the summer when he signed Nemanja Matic and while he was pushing hard to get Sanchez, Conte was making enquiries about Andy Carroll and Peter Crouch.

"That tells me a great deal even if it is not at all easy to understand how Chelsea went from winning the title to where they are now."
 
Time to look at the Academy amid transfer confusion?

11 hours ago Scoutedftbl.com

Time to give serial youth level winners a chance
Chelsea have been the juggernauts of youth football since 2011/12, winning five FA Youth Cups, including a current streak of four consecutive titles, as well as back-to-back UEFA Youth League triumphs in 2015 and 2016, equating to two out of the four editions of the competition.

The club's approach towards their academy certainly has its critics: offering too much too soon has been a hot topic of late. Nevertheless, just as Chelsea established themselves as a Premier League titan through the consistent winning of titles, their youth team has done everything to mirror that success.

With Antonio Conte's constant complaining about the club's inability to provide him with the players he needs to compete, perhaps now is the best time to finally give these players the chance. After all, if Chelsea's first team have shown signs of regression, their youth sides have shown no chance of slowing down, continuing to widen the gap between themselves and their rivals rather than loosening their grip.

The period of dominance heralded by the likes of Ruben Loftus-Cheek and Dominic Solanke has been extended by each new generation. Callum Hudson-Odoi (17) should be considered one of the most exciting prospects in English football right now, whilst Trevoh Chalobah (18) and Vitesse loanee Mason Mount (19) are all evidence of a strong line of succession that shows no sign of slowing down. In fact, Hudson-Odoi and Chalobah are currently embarrassing senior professionals in the Checkatrade trophy.

In an alternate universe, Chelsea's under-strength side that succumbed to Arsenal in the Carabao Cup could have included Loftus-Cheek, Chalobah, Solanke and Abraham; all of whom cost dramatically less than Drinkwater, Barkley, Bakayoko and Batshuayi. Who is to say they would have done any worse? If they sincerely believe they lack the financial power to strengthen properly in the current market, it is time to trust the serial winners in their youth sides rather than pump money into the adorementioned players.

Source: Scoutedftbl.com.
 
Conte maintains strict training regime despite extra games

11 hours ago Simon Johnson I Standard Evening

The Italian is still asking his squad to train on match-days
Standard Sport understands the Italian is putting the players under extra strain by asking them to do drills at the club’s base in Cobham or on the pitch after the 90 minutes, even when he has decided to ‘rest’ them for games.

Conte has regularly suggested his side are struggling to cope with the schedule. Despite this, he continues to keep the squad on a strict regime. For example, it is believed captain Gary Cahill had a session at the training ground on the same day of the first leg of Chelsea’s EFL Cup semi-final against Arsenal - yet he was not in the squad.

Midfielder Danny Drinkwater was given a work-out at Cobham regardless of the fact he was left out of the squad to play Leicester. He has not featured in the last two games after picking up an ankle problem. Conte also wanted his senior players, including Eden Hazard, to work on their fitness when he left them out of the early stages of the EFL Cup.

Chelsea maintain the individuals only do light sessions and that it is the same practice Conte introduced last season. The Italian sees it as key to his plans to maintain the squad’s sharpness.

Chelsea have a minimum of 17 more fixtures, yet Conte is not expected to abandon his training philosophy for the rest of the campaign. The Blues have been picking up more and more injuries as the season has gone on.
 
Mourinho alikuwa ana husika kwenye usajili na analetewa wachezaj anaowapenda. Lakn Conte hausiki. Anapeleka maombi board ndo inashughulikia. Ndo analetewa wachezaj asiowataka ili afukuzwe
Inaonekana hata hujui haya matatizo yameanza lini,Kwa hiyo Mourinho aliwataka kina Djilobodji,Baba Rahman,Kennedy?

Hivi wakati yuko Chelsea unafahamu Jose alitaka kuwasajili Pogba,Turan,Stones,Shaw

Haya matatizo ya bodi Chelsea hayajaanza leo nawashangaa nyie mmeanza kuyaona wakati wa Conte
 
Inaonekana hata hujui haya matatizo yameanza lini,Kwa hiyo Mourinho aliwataka kina Djilobodji,Baba Rahman,Kennedy?

Hivi wakati yuko Chelsea unafahamu Jose alitaka kuwasajili Pogba,Turan,Stones,Shaw

Haya matatizo ya bodi Chelsea hayajaanza leo nawashangaa nyie mmeanza kuyaona wakati wa Conte
Mourinho kaletewa wachezaj weng aliowataka. Baba rahman alimtaka yy. Felipe Luis akamtema. Ntajie wachezaj waliosign iwa kpind cha José???
 
Mourinho kaletewa wachezaj weng aliowataka. Baba rahman alimtaka yy. Felipe Luis akamtema. Ntajie wachezaj waliosign iwa kpind cha José???
Again nimekwambia Mourinho ana ushawishi mkubwa kuliko Conte ndio maana aliwasajili hao wachezaji hiyo bodi ndio hiyo hiyo na hakuna policy iliyobadilika
 
Again nimekwambia Mourinho ana ushawishi mkubwa kuliko Conte ndio maana aliwasajili hao wachezaji hiyo bodi ndio hiyo hiyo na hakuna policy iliyobadilika
Conte awe anahusika kwenye usajili kama Mourinho. Ungeweza kuwacompare ila yy hausiki. Sasa unamcompare na MTU ambaye alikuwa ana husika. Duuuuh unachekesha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom