Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kocha ni tatizo MNO, ameshindwa kupanga wacheza, hatuna goal scorer KBS, tunafungwa goli LA kwanza kizembe tunafungwa goli la pili kizembe hivyo hivyo. Yaani bakayoko ni galasa
 
Chelsea wamecheza mpira vizuri wala kocha si tatizo. Nilijua lazima kukaa leo ila Sanchez angekuwepo tusingetoka salama maana timu ilikuwa na kamgomo baridi juu yake.
Timu ya arsenal inamiliki mpira na imezuia sana ukizingatia full back yao yote ilikuwepo na viungo pia walikamilika huwezi chomoka.
Luiz mliyemtupia kapuni ataendelea kuwa doa.
Naamka kwa raha sana leo.
 
Mimi ni MTU mzima huwezi kuniambia sijielewi! Shida humu kuna baadhi ya vijana waliozaliwa miaka ya late 80s au early 90s, hawana maadili KBS, nafikiri hawakupata malezi utotoni yoyote ya maana.
 
NDIYO kila siku wanakamatwa kutukana mitandaoni, ni ukosefu wa maadili KBS uliolikumba taifa letu hasa kwa vijana. Jamii forum tumeingiliwa na tabia hizi za ovyo na zisizo na staha KBS.
 
Inasikitisha. Maana hawa walikuwa wateja wenu, Drogba alikuwa kila mechi anatupia. Kwakweli Conte hana mbinu ya kumfunga Arsenal
Conte hana mbinu, na lazima aondoke, haiwezekani timu ndogo kama arsenal itusumbue hvi wakati tunatetea taji, sasa Barcelona si watatuu kabisa
 
Conte hana mbinu, na lazima aondoke, haiwezekani timu ndogo kama arsenal itusumbue hvi wakati tunatetea taji, sasa Barcelona si watatuu kabisa
Haina uhusiano hiyo.

Kila mechi inajitegemea mkuu.

La sivyo leo Real Madrid asingefungwa na Leganes.
 
Haina uhusiano hiyo.

Kila mechi inajitegemea mkuu.

La sivyo leo Real Madrid asingefungwa na Leganes.
Hujanielewa !! Ninachomaanisha hapa kama kweli wewe ni bingwa mtetezi timu inatakiwa kuonyesha uwezo na nia kubwa ya kushinda kila game, ukipoteza ni kwa bahati mbaya, siyo unafululiza draw na kufungwa juu halafu unasema unania ya kutetea kombe na kishinda klabu bingwa
 
Hujanielewa !! Ninachomaanisha hapa kama kweli wewe ni bingwa mtetezi timu inatakiwa kuonyesha uwezo na nia kubwa ya kushinda kila game, ukipoteza ni kwa bahati mbaya, siyo unafululiza draw na kufungwa juu halafu unasema unania ya kutetea kombe na kishinda klabu bingwa
Naona ni morale ya wachezaji sijui. Hata Hazard hachezi kama...anyway...wacha tuone weekend
 
Naona ni morale ya wachezaji sijui. Hata Hazard hachezi kama...anyway...wacha tuone weekend

Chelsea wamecheza mpira vizuri wala kocha si tatizo. Nilijua lazima kukaa leo ila Sanchez angekuwepo tusingetoka salama maana timu ilikuwa na kamgomo baridi juu yake.
Timu ya arsenal inamiliki mpira na imezuia sana ukizingatia full back yao yote ilikuwepo na viungo pia walikamilika huwezi chomoka.
Luiz mliyemtupia kapuni ataendelea kuwa doa.
Naamka kwa raha sana leo.
Sasa tunamfukuza lini Conte Hiddink aje kumalizia msimu
 
Atatangulia Mou
So unataka Jose atangulie ili arudi darajani mara ya 3?
Ukiangalia fixture yenu ya February na mpira mnaocheza sasa hivi sidhani kama Conte atamaliza huu msimu
 
Jamani poleni ni sehemu ya matokeo hayo angalieni makosa yenu kosoaneni kwa hoja na staha najua mmeumia lakini utu wenu ni jambo la msingi.
 
  • Thanks
Reactions: SIM

Similar Discussions

Back
Top Bottom