Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Formation haina shida wala kocha hana shida, usajili ulikuwa ni mbovu na usioendana na usajili wa contenders
 
Formation haina shida wala kocha hana shida, usajili ulikuwa ni mbovu na usioendana na usajili wa contenders
Nahii inatokan na mabos wet kushindwa kufata matakwa ya conte ktk usajili.

Angalia man city usajili aliofanya ni matakwa ya pep nitofauti na ss
 


Mutaona Mafanikio pale tu Kocha Wenu atakapoachana na Kushuhulikia Porojo za Mourinho na Kushuhulikia Ya Kwake! Vinginevyo he will end up to drink Vinegar through his Fvcking ass 😀 😀 😀
 
Unajua kuwa wakati tunacheza na Norwich tulitumia 3-4-3? Au unaongea tu?
Angalia ni achezaji wa aina gani walicheza katika mfumo huo?? Unapocheza 3-5-2 lazima uwe na mshambuliaji anaejua kuwapa pressure mabeki na kwenye nguvu ya kubaki na mpira mguuni japo kwa muda. Morata hawezi hizo kitu.
 
Kwa matokeo ya Liverpool vs Man city leo ya 4:3 sasa tunapambana tubakie top 4 tu
 
Kwa matokeo ya Liverpool vs Man city leo ya 4:3 sasa tunapambana tubakie top 4 tu
Kwa kweli tuna kazi nzito. Nyuma yetu yupo Harry Kane, Dele All na Eriksen. Sijui kitakachotokea aisee. Tutaishia tu kumlaumu kocha ila kiukweli hatuna striker.
 
Screenshot_20180114-215047.png
 
Mkuu unataka tuanze kutaja. We huoni.?
Sanchez tayari, Ozil yuko njiani, Coqlin ndio huyoo, Lacazete anatamani hata avunje mkataba aende Atletico sema nao washamrudisha Costa.
Aliyekwambia coqlin kakimbia nani??? Unafikir hao wanakuja chelsea[emoji2] [emoji23] tulia tushushe vifaa tukukule kunako...
 
Aliyekwambia coqlin kakimbia nani??? Unafikir hao wanakuja chelsea[emoji2] [emoji23] tulia tushushe vifaa tukukule kunako...
Mkuu unatukosea heshima sana. Hakuna mchezaji anayeweza kutoka Arsenal kuja Chelsea. Hayo makabdokando yameshaisha sisi hatuwezi kuyachukua.

Mlimuuza Chamberlain, umeona leo alivyokua anacheza wewe.?
 
Mkuu unatukosea heshima sana. Hakuna mchezaji anayeweza kutoka Arsenal kuja Chelsea. Hayo makabdokando yameshaisha sisi hatuwezi kuyachukua.

Mlimuuza Chamberlain, umeona leo alivyokua anacheza wewe.?
Endelea kupiga bei Costa halafu unanunua morata...
Ww hazard anataka akukimbie hataki new contract kwenye madaraja coz kwao yapo mengi...
Bakayokoooooo!!!! Hhhhhh[emoji12] [emoji12] [emoji2] [emoji3] [emoji23] [emoji23]
 
Endelea kupiga bei Costa halafu unanunua morata...
Ww hazard anataka akukimbie hataki new contract kwenye madaraja coz kwao yapo mengi...
Bakayokoooooo!!!! Hhhhhh[emoji12] [emoji12] [emoji2] [emoji3] [emoji23] [emoji23]
Hazard kashachukua makombe ya kutosha kwa hiyo hakimbii kama hao wanaokimbia kwa sababu ya ukame wa makombe. Hazard anachotafuta ni ufahari tu wa kuchezea timu kubwa kubwa. Isingekuwa hivyo angekuja Arsenal. Wee, subutu!
 
Endelea kupiga bei Costa halafu unanunua morata...
Ww hazard anataka akukimbie hataki new contract kwenye madaraja coz kwao yapo mengi...
Bakayokoooooo!!!! Hhhhhh[emoji12] [emoji12] [emoji2] [emoji3] [emoji23] [emoji23]
Toka Hazard aje. Amechukua makombe mengi kuliko timu yako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom