Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,121
- 14,032
rekebisha hiyo sentensi mkuu...,sijakuelewa...Mara ya mwisho Arsenal alichukua ubingwa lini tena?
rekebisha hiyo sentensi mkuu...,sijakuelewa...Mara ya mwisho Arsenal alichukua ubingwa lini tena?
aliyekwambia tuna ukame wa makombe nani????Hazard kashachukua makombe ya kutosha kwa hiyo hakimbii kama hao wanaokimbia kwa sababu ya ukame wa makombe. Hazard anachotafuta ni ufahari tu wa kuchezea timu kubwa kubwa. Isingekuwa hivyo angekuja Arsenal. Wee, subutu!
anayomangapi na ss tunayo mangapi??Toka Hazard aje. Amechukua makombe mengi kuliko timu yako
Mkuu mna ukame nyie. EPL mara yene ya mwisho linialiyekwambia tuna ukame wa makombe nani????
Mkuu mna ukame nyie. EPL mara yenu ya mwisho lini.?aliyekwambia tuna ukame wa makombe nani????
Mkuu mna ukame nyie. EPL mara yenu ya mwisho lini.?aliyekwambia tuna ukame wa makombe nani????
sasa kumbe ukame wa EPL nilifikir wa makombe.....Mkuu mna ukame nyie. EPL mara yene ya mwisho lini
Hujajibu swali kijanasasa kumbe ukame wa EPL nilifikir wa makombe.....
Hakuna pa kurekebisha wewe sema tu huna jibu zuri kwa swali hilirekebisha hiyo sentensi mkuu...,sijakuelewa...
ww unasemea EPL ama makombe??? mbona sikuelewi????Hujajibu swali kijana
ww zwazwa unasema fa ni makombo???...Arsenal alichukua EPL mara ya mwisho 2004, zaidi ya miaka 14 bila kombe. katika miaka 18 tangu elfu mbili Arsenal = 2 EPL, Chelsea 5 EPL
![]()
Katika miaka 18 at least Chelsea imechukua UEFA moja na runnerup 1
Arsenal UEFA = 0, Runner up 1
FA cup tu ndio Arsenal ameng'ara na kwa bahati mbaya hizi ni mojawapo ya condolences trophies ambazo ni sawa na makombo kwa mtu mwenye njaa. wenzako wale minofu wewe ubakie na mifupa, an kanyagio
unaandika kiswahili cha kijijini kwenu halafu unataka nikujibu sijui nikujibu nn...Hakuna pa kurekebisha wewe sema tu huna jibu zuri kwa swali hili
Kwani EPL ni kikapu au.? Aya basi ngoja nikurahisishie makombe ya EPL. Maana mnajitoa udahamu kweliww unasemea EPL ama makombe??? mbona sikuelewi????
Kwani msimu uliopita ni nani ambae hakumfunga Man City.?ww zwazwa unasema fa ni makombo???...
nambie key player wako ambaye hakucheza mechi ya fainali dhidi ya arsenal....
nimekutana na mancity composed of all key players nimemnyuka ..
nimekutana na nyie zuzu's fainali,nimewasaga kama kawa....
punguza bange kijana,usivute kabla ya kupost,Bali vuta baada ya kupost akili iingie...
si nilikufunga na ww???.... fa ni kombe dogo ama kubwa??Kwani msimu uliopita ni nani ambae hakumfunga Man City.?