Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Umeona mkuu.
Msimu huu tunapiga mpira mwingi tatizo linakuwa katika umaliziaji .Abramovich asikurupuke kwa hili
Tim yetu naona inacheza mpira ktk mech kubwa tofauti na mwanzo cha msingi ampe player ambao conte anawahitaj
Dhambi kubwa inayotutafuna ni kuachana na Diego Costa
 
Willian anastahili kuanza, na Hazard. Bakayoko na Morata wakae banchi kama Chelsea haitanunui striker top four itakuwa ngumu sana. Liverpool wako on fire na Tottenham hawajakata tamaa.
 
DAAHA AISEE IV NN KINAENDELEA KTK TINU YETU NAHC KAMA WACHEZAJ WAMEGOMA AU KUKATA TAMAA SABABU YA CONTE KUENDEKEZA MAJUNGU KWA KOCHA WA MANURE KULIKO KUITENGENEZA TIMU DAAAH INAUMA
 
Hii makitu ya 3-5-2 sijui kaiokota wap. Sioni Chelsea ya kupata matokeo hivo karibuni
 
Hamna kitu nilikuwa sikipendii hata zile enzii za special one kuanza kutegemea kona au adhabu ili kupata ushindii ...naona ndo tunakorudiii na ubaya wale wenye uwezo wa kuforce hizo mambo wamebaki wachache

Mchezo ulikuwa mgumu kuanzia kipenga kinapulizwa hasa dimba la katiii kulikosa ubunifu na kazi kubwa alikuwa nayo Ngolo ....

Sub alizofanya zilikuwa nzuriii ila zimekuwa mbaya baada ya red ya wapinzani ndo hapo angalau umuhimu wa ufundi wa pasiii za ces au hazard ungelionekana .....

Top 4 kwa mtindo huu itakuwa ya kupigana vikumbo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom