kalou
JF-Expert Member
- Aug 22, 2009
- 4,992
- 3,879
We needed different approach, regardlessUliangalia mechi kweli mkuu!???
We needed different approach, regardlessUliangalia mechi kweli mkuu!???
Sasa si tulikuwa kwenu ama????Mimi nilishakwambia kwako wewe draw ni ushindi mkubwa. Pole sana dogo
Man u kaingiaje hapa mkuu????Chelsea nyie niliwaambia wehu tu hamtuwezi sisi man yu.
![]()
Jipe moyo....7 - Arsenal won't be unhappy with this first-leg goalless draw, but no club has been eliminated at the semi-final stage of the League Cup more often than the Gunners (7).
Kwan mechi iliyopita kabla ya jana tulikua wapi? Au umeanza kupiga ulanzi na weweSasa si tulikuwa kwenu ama????
Bila hata Wenger!!!!! Ngoja mje kwetu tuwanyoe hivyo vipele dadeqqq!!!!!
Different approach hukuiona alipotoka Drinkwater akaingia Willian? Yani pale alitakiwa atoke Morata aingie Pedro.We needed different approach, regardless
Swali, will Conte get it right next game? Kwa aina ya number 9 tuliyenaye tunatakiwa kuwa na more attacking options kule mbele, sio kuwaacha morata na hazard tuDifferent approach hukuiona alipotoka Drinkwater akaingia Willian? Yani pale alitakiwa atoke Morata aingie Pedro.
Uliona ambavyo Willian aliongeza nguvu kwa Moses? Sasa Pedro angeenda kule kwa Alonso halafu Hazard abaki kati ungefurahi mwenyewe.
Alternatively, angetoka Fabregas aingie Willian ili Kante na Drinkwater wabaki kati.
Bakayoko haikuwa substitution nzuri ilionesha kocha ame-give up akaongeza ulinzi tu.
Ila kubali umemshindwa Arsenal!!!Kwan mechi iliyopita kabla ya jana tulikua wapi? Au umeanza kupiga ulanzi na wewe
Nimekushindwa kwa nini.? Wewe ndio umnishindwa hata kwenye ligi tu nimekuacha, pamoja na safu mbobu ya ushambuliaji nimekuzidi magoli katika PL. Huma kitu aseeh. Nimekuacha mbali sanaIla kubali umemshindwa Arsenal!!!
Kwan nani ana safu bora ya ushambuliaji?? Halafu mbona unakwepesha mada kijanja...,nani kAongelea EPL hapa??.....mimi nasemea head to head we unaleta vingine hapa.....,umeshinda only a single game out of 5 ulizokutana na arsenal halafu bado unapiga mikelele....Nimekushindwa kwa nini.? Wewe ndio umnishindwa hata kwenye ligi tu nimekuacha, pamoja na safu mbobu ya ushambuliaji nimekuzidi magoli katika PL. Huma kitu aseeh. Nimekuacha mbali sana
Katika hizo we umeshinda ngap.?Kwan nani ana safu bora ya ushambuliaji?? Halafu mbona unakwepesha mada kijanja...,nani kAongelea EPL hapa??.....mimi nasemea head to head we unaleta vingine hapa.....,umeshinda only a single game out of 5 ulizokutana na arsenal halafu bado unapiga mikelele....
Kalale mzee nani.....
Nimeshinda mechi ya ligi,nimeshinda fa,nimeshinda na ngao ya hisani.....mechi sita sasa una ushindi mmoko tu....Katika hizo we umeshinda ngap.?
Hakikisha na msimu huu ushinde na EPLNimeshinda mechi ya ligi,nimeshinda fa,nimeshinda na ngao ya hisani.....mechi sita sasa una ushindi mmoko tu....
Ntahakikisha nashinda carabao....Hakikisha na msimu huu ushinde na EPL