Wakati we unashinda wanaume tutakua tumekaa tu tunakuangalia.? Hushindi chochote mpaka hata Iwobi ataondokaNtahakikisha nashinda carabao....
Kwa comment hii nina uhakika wewe hautazami mpiraAntonio Conte ni muda sasa wa kuondoka
Kumruhusu Conte akaondoka itakuwa the worst decision kuwahi kufanywa na AbramovichTetesi
Mkufunzi wa Juventus Massimiliano Allegri na aliyekuwa kocha wa Barcelona Luis Enrique wanaongoza kurithi mahala pake. (Mail)
Umeona mkuu.Kumruhusu Conte akaondoka itakuwa the worst decision kuwahi kufanywa na Abramovich
Conte haondoki yupo sn.Umeona mkuu.
Msimu huu tunapiga mpira mwingi tatizo linakuwa katika umaliziaji .Abramovich asikurupuke kwa hili
Tim yetu naona inacheza mpira ktk mech kubwa tofauti na mwanzo cha msingi ampe player ambao conte anawahitaj
Antonio Conte insisted that he will not walk away from Chelsea at the end of the season, leaving his future at Stamford Bridge in the hands of the clubUmeona mkuu.
Msimu huu tunapiga mpira mwingi tatizo linakuwa katika umaliziaji .Abramovich asikurupuke kwa hili
Tim yetu naona inacheza mpira ktk mech kubwa tofauti na mwanzo cha msingi ampe player ambao conte anawahitaj
AsanteEden Hazard has agreed to move to Real Madrid C.F. this summer. He has rejected another offer from Chelsea worth almost €18M per season. [RMC]![]()
Ila bado kz ipo. Atabembelezwa sn mpk abaki darajaniAsante
Huko nyuma yake..,hayo makagashi umeedit umeweka ya kwako....Wakati we unashinda wanaume tutakua tumekaa tu tunakuangalia.? Hushindi chochote mpaka hata Iwobi ataondoka
![]()
Umeona mkuu.
Msimu huu tunapiga mpira mwingi tatizo linakuwa katika umaliziaji .Abramovich asikurupuke kwa hili
Tim yetu naona inacheza mpira ktk mech kubwa tofauti na mwanzo cha msingi ampe player ambao conte anawahitaj