Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tetesi

Klabu ya Uhispania ya Sevilla ina hamu ya kumsajili mshambuliaji wa Chelsea Michy Batshuayi, 24, kwa mkopo. (ESPN)

Lakini mkufunzi wa Chelsea Antonio Conte amesema anafuraha anampenda mchezaji huyo wa Ubelgiji ambaye ameichezea Chelsea mara mbili pekee. (Sky Sports)
 
Tetesi

Klabu ya Uhispania ya Sevilla ina hamu ya kumsajili mshambuliaji wa Chelsea Michy Batshuayi, 24, kwa mkopo. (ESPN)

Lakini mkufunzi wa Chelsea Antonio Conte amesema anafuraha anampenda mchezaji huyo wa Ubelgiji ambaye ameichezea Chelsea mara mbili pekee. (Sky Sports)
Hoho
 
Too many defensive minded players kwenye line up, we need willian or pedro in
 
Wakuu wana Blues,

Game sasa ni mapumziko na Stats ni kama hivi mpaka sasa

4aaed923d3e861ddbbea538e2600d331.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom