mkurya org.
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 1,571
- 1,697
Mjiandae mechi ijayo ligue cup dhidi ya asernal mnatolewa.
[emoji3][emoji3]
[emoji3][emoji3]
Kwa hapo nawaonea huruma sana[emoji3]Mwezi wa tatu Hizi mechi zinawasubiria
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji134]♂️[emoji134]♂️[emoji3][emoji3][emoji3]
View attachment 670101
Bristol City umesahau alichokufanya Carabao mara hii😀JAMAN DAAH ADI NORWICH IVI II TIMU AIZD KUARIBIKA KWELI INAUMA SANA
Hapo mechi ni ya Barca tu!Mwezi wa tatu Hizi mechi zinawasubiria
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji134]♂️[emoji134]♂️[emoji3][emoji3][emoji3]
View attachment 670101
Haaa kivp tena mkuu unaniletea habari za manure mm wa blue pureBristol City umesahau alichokufanya Carabao mara hii😀
Kweli mkuu sijui nn tatzo nauyu jamaa nazani hafiji march watakuwa washamtimua c kwakutuvuruga ukuWana blues wenzangu vip kocha wetu ana mpango gani na hili dirisha dogo naona timu limejaa viungo tu pale mbele hatuna mtu wa kazi. Kocha ana mpango gani au hajapewa fungu?
Yule wa kupaki basi je atakuwa bado hajatimuliwa?😱Kweli mkuu sijui nn tatzo nauyu jamaa nazani hafiji march watakuwa washamtimua c kwakutuvuruga uku
Kocha sio mwenye mamlaka kwenye usajili anachofanya ni kutoa list ya wachezaji anaowahitaji na alishafanya hivyo tangu dirisha la usajili lililopita.Wana blues wenzangu vip kocha wetu ana mpango gani na hili dirisha dogo naona timu limejaa viungo tu pale mbele hatuna mtu wa kazi. Kocha ana mpango gani au hajapewa fungu?
Ondoa Tot, Barca na City. Wengine wanaobaki ni mteremko tu. Walau hao watatu ndio wakukaziaMwezi wa tatu Hizi mechi zinawasubiria
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji134]♂️[emoji134]♂️[emoji3][emoji3][emoji3]
View attachment 670101
Wehu wetu upo uwanjani. Acha pampalilaChelsea nyie ni wehu tu hamtuwez man u.
Ondoa Tot, Barca na City. Wengine wanaobaki ni mteremko tu. Walau hao watatu ndio wakukazia
Tufunge midomo yetu atuna timuKwa hiyo...????