Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,930
- 27,184
Mkuu EPL inamuhitaji Vidal. Yule jamaa ni mapafu ya mbwa asee1. Bakayoko na Morata
2. Vidal hapana! Naye ni kama Costa. Ana hasira mno.
Mkuu EPL inamuhitaji Vidal. Yule jamaa ni mapafu ya mbwa asee1. Bakayoko na Morata
2. Vidal hapana! Naye ni kama Costa. Ana hasira mno.
Mkuu hawa kidogo kidogo kwa mwendo huu huu wanakuja kupotezaMan City kashkiliwa huko mjini selhurst park yule mchezaji wa crystal palace aliekosa penalty ana wazimu sio bure hajui kwamba penalty yake ilikuwa na thamani kwa timu kubwa kuliko timu yake😱
Tuendelee kujipa moyo ipo siku isiyo na jina Mungu atajibu maombi yetu.Mkuu hawa kidogo kidogo kwa mwendo huu huu wanakuja kupoteza
Amina kabisa. Na keshaanza na majeruhi. KDB na JesusTuendelee kujipa moyo ipo siku iso na jina Mungu atajibu maombi yetu.
Huyu kiungo binafsi sijawahi kushawishika na kiwango chake kabsaaaTetesi
Mkufunzi wa Chelsea Antonio Conte anajiandaa kumnunua kiungo wa kati wa Everton na Uingereza Ross Barkley, 24. (Telegraph)
Vidal uzee unamnyemeleaMkuu EPL inamuhitaji Vidal. Yule jamaa ni mapafu ya mbwa asee
Happy New year too comrade!Happy new year mashabiki wenzangu....to a successful year ahead!!!! [HASHTAG]#KTBFFH[/HASHTAG] [HASHTAG]#CFC[/HASHTAG]
Naungana na wewe,Ross Barkley ni kiungo mzuri lakini kwa level za Everton sio klabu kama Chelsea.Huyu kiungo binafsi sijawahi kushawishika na kiwango chake kabsaaa
Man city kwa kilichotokea jana na kuumia kwa tegemeo lao mapafu ya mbwa K D nawaona wakiachia point katika mechi zinazofuata ....kwanza wale vigogo wote hawatokubal kufungwa mara 2 apo advantage kwa chelsea make naona moto ushawashwa kimya kimyaKwa mchezo wa Newcastle nilisema hao mancity walicheza tu kawaida. Tungoje sasa mwaka mpya na mambo mapya
Sio kirahisi kama unavyodhani,msimu huu Guardiola amedhamiria kweli kweli na KDB huendea akakosa mechi mbili na ya tatu akapumzishwa ili kuisubiri mechi ya Liverpool.Man city kwa kilichotokea jana na kuumia kwa tegemeo lao mapafu ya mbwa K D nawaona wakiachia point katika mechi zinazofuata ....kwanza wale vigogo wote hawatokubal kufungwa mara 2 apo advantage kwa chelsea make naona moto ushawashwa kimya kimya
Mwezi wa tatu tutakuwa nyuma point chache mno au kuwa juu
Hapana si kweli,Head Coach ama kwa kiswahili kocha mkuu wa timu/klabu,yeye anakuwa na mamlaka juu ya kikosi chake tu kwa maana wachezaji alionao tu wakati Team Manager anakuwa na authority kubwa katika klabu kuanzia kikosi chake hadi nje ya kikosi kwa maana katika maswala ya usajili wa wachezaji na pia anakuwa na sauti katika bodi ya timu mfano Sir Alex Ferguson alivyokuwa pale United au Arsene Wenger pale Arsenal.
Chelsea katika kumbukumbu zangu kama bado nakumbuka vizuri haijawahi kuwa na Manager na kama ilishawahi kuwa nae basi ni Mourinho tu.
Trust me tena timu ndogo ndo zitamsumbua sana angalia mechi 4 za hivi karibuni ushindii unakuwa wa kuforce sio kama alivoanzaSio kirahisi kama unavyodhani,msimu huu Guardiola amedhamiria kweli kweli na KDB huendea akakosa mechi mbili na ya tatu akapumzishwa ili kuisubiri mechi ya Liverpool.
Hizo mechi tatu zenyewe zote wanacheza Etihad na ni dhidi ya Watford(EPL),Burnley(FA Cup) na Bristol City(Carabao Cup).
Vile vile ukiangalia depth yao pale kati wana Gündogan na Benardo Silva ambao wote wanaweza kuchukua nafasi ya KDB wakisaidiana na David Silva na kufanya pengo lake lisiwe kubwa sana especially ukiangalia uzito wa hizo game ambazo KDB atazikosa.
Nadhani Big issue kwa Guardiola ni majeruhi ya Jesus ambayo yatamuweka nje kwa miezi miwili na ukizingatia amebakiwa na Agüero pekee kama senior striker ambaye makali yake yamepungua msimu huu compared to misimu ya nyuma na ana mashindano manne hadi sasa hapo ndo patamu.