Mentor
JF-Expert Member
- Oct 14, 2008
- 20,334
- 23,940
Unataka kusema unaridhika na kiwango cha sasa cha Bakayoko ama nimekuelewa vibaya?Kwa bakayoko nitaendelea kukupinga tu
Morata leo kiukweli hakuwa na mchezo mzuri
Unataka kusema unaridhika na kiwango cha sasa cha Bakayoko ama nimekuelewa vibaya?Kwa bakayoko nitaendelea kukupinga tu
Morata leo kiukweli hakuwa na mchezo mzuri
Mfumo wa 3+5+2 unaangushwa na Bakayoko maana bado hajawa tishio na yeye ndio mchezaji pekee anaetakiwa kupanda mbele kwa kasi na kurudi nyuma. Maana Faby na Kante muda mwingi hua wako chini ili kuweza kutoa pass. Ndio mana Km juventus ya Vidal, Pogba na Perlo ilikua moto kwasbbu ya upambanaji wa Pogba na Vidal. Huku Pirlo alikua akicheza kwa chini kwa ajili ya kuvurumisha pass km afanyavyo Faby.Wakati mwingine performance ya Hazard inakua low kwa sababu ya ile 3-5-2 ambayo inamfanye yeye na morata pekee ndo wabaki pale mbele, kwa hiyo inamfanya Hazard anarud kucheza chini ya Morata badala ya kutokea pembeni ambako anapaweza zaid, mfumo mzuri ni kama ule wa game ya jana ya stoke wa 3-4-3 unaongeza kasi ya attacking...
Morata ananiuzi sn...1. Sahihi kabisa Willian kuwa man of the match
2. Morata!
3. Batshuayi apelekwe mkopo au auzwe tutafute alternative striker
4. Bakayoko naye...!
5. Cahill, good job my captain! Harembi na mpira kabisa. Nimependa uvhezaji wake aisee
6. Rudiger...mnampa kocha kazi ngumu sana kuchagua kikosi cha kuanza hapo nyuma! Good job kwa leo ingawa mechi kubwa bado ningependelea Azpilicueta, Christensen, Cahill.
7. Luiz namuonea huruma. Standard iliyowekwa na Christensen na Rudiger ni kubwa akija akaanza kuremba mpira benchi litamhusu sana
8. Ninatamani kuwaona tena Kenedy na Musonda soon.
1. Bakayoko na MorataMfumo wa 3+5+2 unaangushwa na Bakayoko maana bado hajawa tishio na yeye ndio mchezaji pekee anaetakiwa kupanda mbele kwa kasi na kurudi nyuma. Maana Faby na Kante muda mwingi hua wako chini ili kuweza kutoa pass. Ndio mana Km juventus ya Vidal, Pogba na Perlo ilikua moto kwasbbu ya upambanaji wa Pogba na Vidal. Huku Pirlo alikua akicheza kwa chini kwa ajili ya kuvurumisha pass km afanyavyo Faby.
Tunahitaji Vidal hapo ili ku rain force kikosi chetu
Sawa lkn ni mpambanaji sn huyu jamaa na ile 3+5+2 ina mfaa sn1. Bakayoko na Morata
2. Vidal hapana! Naye ni kama Costa. Ana hasira mno.
Kwa asilimia kubwa Luiz atauzwa1. Sahihi kabisa Willian kuwa man of the match
2. Morata!
3. Batshuayi apelekwe mkopo au auzwe tutafute alternative striker
4. Bakayoko naye...!
5. Cahill, good job my captain! Harembi na mpira kabisa. Nimependa uvhezaji wake aisee
6. Rudiger...mnampa kocha kazi ngumu sana kuchagua kikosi cha kuanza hapo nyuma! Good job kwa leo ingawa mechi kubwa bado ningependelea Azpilicueta, Christensen, Cahill.
7. Luiz namuonea huruma. Standard iliyowekwa na Christensen na Rudiger ni kubwa akija akaanza kuremba mpira benchi litamhusu sana
8. Ninatamani kuwaona tena Kenedy na Musonda soon.
Ndio maana kwa sasa unamuona Conte anampa uzoefu Cahill kucheza beki wa Kati ktk Wale watatu hapo nyuma.Kwa asilimia kubwa Luiz atauzwa
Yes. Bakayoko na Morata watuangusha ktk 3+5+21. Bakayoko na Morata
2. Vidal hapana! Naye ni kama Costa. Ana hasira mno.
Naridhika sana kwa sababu anafanya kwa kujitahidi mno huwezi kuamini huu ndio msimu wake wa kwanzaUnataka kusema unaridhika na kiwango cha sasa cha Bakayoko ama nimekuelewa vibaya?
Umefufuka leo baada ya kuporomoka nafasi uliyodhani itakuwa yako milele😀😀😀.Wakuu vipi
Ana nidham na juhudi, hiyo ni mtaji wa kukukuaNaridhika sana kwa sababu anafanya kwa kujitahidi mno huwezi kuamini huu ndio msimu wake wa kwanza
Anajitahidi mno japo hajafikia kiwango cha juu
Lakini kwa msimu wake wa kwanza amejitahidi mno