Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Najua na possibly amewekwa akiba kwa ajili ya mechi ya Arsenal lakini sijapenda kitendo chake kukataa kuongeza mkataba kwa sababu Eti anataka kwenda Madrid
Wachezaji wote nadhani wapo hivyo, kwa kizazi hiki hakuna mfia timu. Anaangalia maslahi yake basi. Hivyo basi hata chelsea wakiweka hela na mipango anaweza kubaki
 
Najua na possibly amewekwa akiba kwa ajili ya mechi ya Arsenal lakini sijapenda kitendo chake kukataa kuongeza mkataba kwa sababu Eti anataka kwenda Madrid
Mkuu yeye anaangalia mslahi yake. Mshahara aloandaliwa ni mnono kweli lakini nadhani kuna kingine anahitaji
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom