Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

IMG_20171218_181518.jpg


Azpillicueta hapa kaonyesha kwamba he is a matured leader.
 
The greatest manager in the history of your club and that's how you treat him.
shameless club
 
Tutaanza kucheza mpira wa kizee kama akija huyo jamaa
Na timu zake always zinaundwa na wazee lakini wazee wanaoweza shughuli,unaikumbuka Chelsea yake ya 2009/2010 ambayo ilibeba EPL,FA pamoja na ngao ya jamii katika msimu wake wa kwanza.
Cech/Hilario,Ivanovic/Bosingwa,Carvalho/Alex,
Terry,Cole/Zhirkov,Essien/Mikel,Ballack,
Lampard,Anelka/Joe Cole,Drogba,Malouda/Kalou.

Angalizo:Sina maana Conte afukuzwe nimejaribu kuonyesha tu kwamba Ancelotti ni moja ya makocha bora kwa upande wangu.
 
Na timu zake always zinaundwa na wazee lakini wazee wanaoweza shughuli,unaikumbuka Chelsea yake ya 2009/2010 ambayo ilibeba EPL,FA pamoja na ngao ya jamii katika msimu wake wa kwanza.
Cech/Hilario,Ivanovic/Bosingwa,Carvalho/Alex,
Terry,Cole/Zhirkov,Essien/Mikel,Ballack,
Lampard,Anelka/Joe Cole,Drogba,Malouda/Kalou.

Angalizo:Sina maana Conte afukuzwe nimejaribu kuonyesha tu kwamba Ancelotti ni moja ya makocha bora kwa upande wangu.
Kutokana na mpira wa sasa au siku hizi Ancelotti hatufai. Mpira umebadilika sn. Ndio mana ata kina Wenger, Mourinho wanapata sn tabu
 
Kutokana na mpira wa sasa au siku hizi Ancelotti hatufai. Mpira umebadilika sn. Ndio mana ata kina Wenger, Mourinho wanapata sn tabu
Hapana,Ancelotti ni moja kati ya makocha ambao bado wana nafasi katika mpira wa sasa kutokana na his style of play kama umemfatilia vizuri kwanzia AC Milan,Chelsea,Real Madrid na Bayern München na ukalinganisha na mpira wa sasa nadhani utapata majibu.
ANGALIZO:SISEMI CHELSEA IMFUKUZE CONTE NA KUMLETA ANCELOTTI
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom