Ila wakuu mi nnavoona kama shida ni bakayoko si alitolewa immeaditily kipindcha 2 kilipoanza??
kwahyo inamaana walioingia wameshndwa kufanya changes dk zote 45 sec half?
Mi navyoona kama timu hatukuzidiwa kimashambulizi wala ufundi.. Uchambuzi ni kuwa madogo walibahatika kupata bao mapema kisha kurud wote nyuma na kupak kama sio sem bas ni tren kabsa
Leo ilitakiwa tabadili mfumo wa kuingia kwa pasi had golini bali wapge cross za kushtukiza, na wangekuwa wabunifu zaid hasa kujarbu mashut ya mbal. baada ya kuona vjana wanapaki tren muda wote
Anywy hatukuwa na bahat pia maana hata uvyo tulifanya mashambuliz makal yenye kuzaa matunda ila bahat haikuwa yetu, tusikatae kuwa mpra nao unabahat zake hata kama unaujua..!!