eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,400
Hii ni kauli ya kishujaakauli kukata tamaa
Tulifungwa kwa kustahili kabisa
Well done westham kwa kupaki basi
Hii ni kauli ya kishujaakauli kukata tamaa
Cyo kupaki bus bhna timu hakuna ya kupambana anapanga anavyotaka bora afukuzwe tu nimemchukia from naw na siku zote unamuweka bench mcezaji mzuri unatuwekea bakayoko hana ufundiHii ni kauli ya kishujaa
Tulifungwa kwa kustahili kabisa
Well done westham kwa kupaki basi
Kesho nashinda mau u niko hapa nukuuu maneno yanguWe cheka tu cha moto kesho utakiona prondo
Duh siku hizi kila mtu akifungwa utasikia 'walipaki bus'...Hii ni kauli ya kishujaa
Tulifungwa kwa kustahili kabisa
Well done westham kwa kupaki basi
















Mkuu sasa wale hawakupaki basi. Tena ni Najimunisa ile kama siyo NgorikaDuh siku hizi kila mtu akifungwa utasikia 'walipaki bus'...
Bakayoko mwingine au yule yule aliekuwa anasifiwa mwanzo wa ligi?Huyu ni hopeless KBS, unamwacha drink water unamuweka bakayoko, ni mzito, hafanyi mashambulizi yoyote ya maana. Mechi ya Leo, bora angemwanzisha William badala ya morata, hazard ameshindwa kucheza KBS, ubingwa tena basi
Pumbu lako kaosheKorodani lako
Mda wote unallmka khus chelsea kumbe shabiki wa manyumbu fc duuKesho nashinda mau u niko hapa nukuuu maneno yangu
Kumbe we ni man uKesho nashinda mau u niko hapa nukuuu maneno yangu
Lile basi hata mourinho hana prondoDuh siku hizi kila mtu akifungwa utasikia 'walipaki bus'...
Mi nawaambia leo tumefungwa kihalali kabisa no lawama kabisa kwa yeyoteNilichogundua mashabiki wengi wa Chelsea siyo wavumilivu. Yan makosa kidogo mtu anatoa lawama utafikili ndio tumeshuka daraja. Nakubali kuna makosa kama kocha na wachezaji wanafanya lakini tusikie hatua ya kuponda kiasi kwamba tunaonekana au tunakua kama wazamiaji wa timu nyingine kuja kushusha majungu humu kama haka kakijana Jux juma.
Mpira una matokeo matatu, sina haja ya kuyaelezea kila mtu anaelewa. Cha msingi tuchukulie kama changamoto tu na ndio mpira wenyewe ni kazi sana kwenda moja bila hata kupoteza na wakati wenyewe mliona makosa tuliyo fanya toka kipindi cha usajili msitegemee tutakua na matokeo kama ya Man City.
Tuwe na akiba ya maneno hakuna mtu asofanya makosa. Kuna kipindi game linakubali kuna kipindi linakataa.
Hollaa Blues.
![]()
Marko Arnautović anawatakia jioni njema na yenye furaha tele
(Mgonjwa kamtibu mganga)

We utakuwa sio shabiki wa chelsea na mpira hujuiMsimu huu hatuna chetu ,si FA au Capital One Wala UEFA
Kocha ni Kama analazimisha formation iliyogoma, kuwaweka wale watu pale mbele hatuwezi shinda hata tukicheza na yanga