Wanasema wanaitaka nafasi ya 2, Hahaaaaa. Ila msihofu kesho City anasimamishwa.FT: Westham 1 Chelsea 1
Mints: 289
Goal by Babu seyaaa
What a long shot from UKONGA GEREZANI
[emoji28][emoji28][emoji28]
Bakayoko ndio weak link ktk timu nzima, hana uhakika na anchofanya , hili ni tatizo hasa
Asiyekubali kushindwa sio mshindaniEti kufungwa kihalali[emoji23][emoji23][emoji23]
Ushamaliza kukata viuno jukwani vip umeimba nyimbo gan?DAAAH UYU KOCHA ASHAANZA KUTUPA MAUMIVU IVI ANASHINDWAJE KUMFUNGA WESTHAM
VIPI KINA MAN CITY NA MAN U
Westham walistahili ushindi na hii match nilijua mapema itakuwa ngumuNaona umeanza kujipoza mapema
[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji134] [emoji134] [emoji134]
Daah mwanangu acha tu uyu kocha ananipa sana stressBakayoko again[emoji3][emoji3][emoji3]
Conte bhana. Kibarua amekichoka kweli kweli.
Hebu tuondolee uchafu. We nimekupiga ngapi.? Ficha upumbavu huoDAAAH UYU KOCHA ASHAANZA KUTUPA MAUMIVU IVI ANASHINDWAJE KUMFUNGA WESTHAM
VIPI KINA MAN CITY NA MAN U
Korodani lakoUshamaliza kukata viuno jukwani vip umeimba nyimbo gan?
Khe khe khe khe khe......Asiyekubali kushindwa sio mshindani
[emoji38][emoji38] kauli kukata tamaaAsiyekubali kushindwa sio mshindani
Hamna watamfunga city etihadApa ubingwa tusaau na timu ii
We cheka tu cha moto kesho utakiona prondoKhe khe khe khe khe......