Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Conte bado kila mechi yeye anaona ni majaribio hii ndio aliyokuwa msimu huu
Ila leo timu ilikuwa hovyo sana hamna morali kabisa wachezaji wanaonekana kuchoka
 
Hapa Tukimuangalia CRYSTAL PALACE aliwakalisha Chini...!
Na tukimuangalia WEST HAM kashawakalisha Chini...!

Bingwa Mtetezi una Ubia gani na RELEGATORS?
😀😀😀😀


IMG_20171209_175531.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom