Kiwembe 0
JF-Expert Member
- Oct 4, 2016
- 536
- 605
Ila muhuni wangu bakayoko alikuja darajani kwa mbwembwe nyingi mno, siku ya kwanza kafika kapiga picha na kila mchezaji wa Chelsea... afu eti siku ya kutambulishwa kaja na familia yake nzima MAMAYOKO,BABAYOKO NA YEYE BAKAYOKO...Akapiga picha nao pale blue carpet. But i still trust in his talent, atarudi tu kama zamani.
Pogba alipitia hiyo hali msimu uliopitaIla muhuni wangu bakayoko alikuja darajani kwa mbwembwe nyingi mno, siku ya kwanza kafika kapiga picha na kila mchezaji wa Chelsea... afu eti siku ya kutambulishwa kaja na familia yake nzima MAMAYOKO,BABAYOKO NA YEYE BAKAYOKO...Akapiga picha nao pale blue carpet. But i still trust in his talent, atarudi tu kama zamani.
Hivi na wewe unawaza kabisa utaleta changamoto ligi kuu. Yan wewe na Arsenal hamna tofauti kabisa. Hebu waache wanaume wapambane nyie watoto tupisheni bhana.
Kufungwa na westham haimaanishi hatuwezi kuifunga psg au barca
Kufungwa na westham haimaanishi hatuwezi kuifunga psg au barca
Wanapokea kipigo vizuri tu
Nitandikwe vp mm nishacheza nimepigwa kimoja mku manure siijui mmYan wewe kesho utatandikwa bakora nyingi. We leta mbwembwe tu
Nilichogundua mashabiki wengi wa Chelsea siyo wavumilivu. Yan makosa kidogo mtu anatoa lawama utafikili ndio tumeshuka daraja. Nakubali kuna makosa kama kocha na wachezaji wanafanya lakini tusikie hatua ya kuponda kiasi kwamba tunaonekana au tunakua kama wazamiaji wa timu nyingine kuja kushusha majungu humu kama haka kakijana Jux juma.
Mpira una matokeo matatu, sina haja ya kuyaelezea kila mtu anaelewa. Cha msingi tuchukulie kama changamoto tu na ndio mpira wenyewe ni kazi sana kwenda moja bila hata kupoteza na wakati wenyewe mliona makosa tuliyo fanya toka kipindi cha usajili msitegemee tutakua na matokeo kama ya Man City.
Tuwe na akiba ya maneno hakuna mtu asofanya makosa. Kuna kipindi game linakubali kuna kipindi linakataa.
Hollaa Blues.
Mimi nafikiri kocha WETU ni tatizo MNO, anashindwa kuwa na 1st eleven ya kudumu. Chelsea ni big timu UK, angalia record YETU, ni timu ni competitive team kwa UK, hatuwezi kucheza kijinga vile Leo, tunafungwa 1st half mpaka mwisho, ni aibu MNO. Angalia record/ misimu 1997/1998, 1998/1999/, 1999/2000/,/2000/2001, 2001/2002, 2002/2003, 2003/2004, nk, Chelsea ni timu ya ushindani mkubwa sana UK
Bata mzinga wwe unawaza kichwa kikiwa kwenye maji who is nemanja matic nyie mlie mchukua si mchukie ubingwa ssaLaana ya Diego Costa na Nemanja matic itawatafuna mpaka mkome
GGMU
Mpira hauko hivyo ndg kuna team ilimpa man u 2_1 hiyo team imepigwa na arsenal 5_0 ( arsenal vs man u ) matoke unayajua in hayo tuTulipompiga 4G mlichonga sana kuwa ilikuwa ni timu ndogo, naona leo mmekuwa timu ndogo zaidi